Msaada hili ni jeshi gani?

Msaada hili ni jeshi gani?

Puna

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
2,770
Reaction score
4,856
Wakuu habarini!katika pita pita zangu huko Fb picha inayotrend kwa sasa ni huyu mjeshi
Screenshot_20211214-083216~4.png

Hapo hiyo chuma kampa dogo bila hiyana dogo nae kainua chuma.
S
Screenshot_20211214-083205~4.png

Sasa swali langu hili ni jeshi gani hapa Bongo lala?je kama ingekuwa na lisasi na dogo akakumbuka Movie zetu za komando kipenzi si hatari hii?au wataalamu wa silaha taratibu zikoje?

Uzi tayari. NB: Jamaa kujipost mwenyewe kasahau Dunia kijiji.
 
Wakuu habarini!katika pita pita zangu huko Fb picha inayotrend kwa sasa ni huyu mjeshiView attachment 2043452
Hapo hiyo chuma kampa dogo bila hiyana dogo nae kainua chuma.
SView attachment 2043454
Sasa swali langu hili ni jeshi gani hapa Bongo lala?je kama ingekuwa na lisasi na dogo akakumbuka Movie zetu za komando kipenzi si hatari hii?au wataalamu wa silaha taratibu zikoje?

Uzi tayari. NB: Jamaa kujipost mwenyewe kasahau Dunia kijiji.
Hayo mavazi mbona kama ya mgambo ??
 
Wakuu habarini!katika pita pita zangu huko Fb picha inayotrend kwa sasa ni huyu mjeshiView attachment 2043452
Hapo hiyo chuma kampa dogo bila hiyana dogo nae kainua chuma.
SView attachment 2043454
Sasa swali langu hili ni jeshi gani hapa Bongo lala?je kama ingekuwa na lisasi na dogo akakumbuka Movie zetu za komando kipenzi si hatari hii?au wataalamu wa silaha taratibu zikoje?

Uzi tayari. NB: Jamaa kujipost mwenyewe kasahau Dunia kijiji.
.
images%20-%202021-12-14T093051.552.jpg
 
Maaskari wa siku hizi ni vituko, haileweki wanafanya hivyo kwa minajili gani huku kanuni za maisha ya kijeshi haziruhusu mambo hayo
 
Wakuu habarini!katika pita pita zangu huko Fb picha inayotrend kwa sasa ni huyu mjeshiView attachment 2043452
Hapo hiyo chuma kampa dogo bila hiyana dogo nae kainua chuma.
SView attachment 2043454
Sasa swali langu hili ni jeshi gani hapa Bongo lala?je kama ingekuwa na lisasi na dogo akakumbuka Movie zetu za komando kipenzi si hatari hii?au wataalamu wa silaha taratibu zikoje?

Uzi tayari. NB: Jamaa kujipost mwenyewe kasahau Dunia kijiji.
Huyo dogo alieshika hiyo chuma ana sura ya kuja kuwa jambazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom