Puna
JF-Expert Member
- Oct 9, 2013
- 2,770
- 4,856
Wakuu habarini!katika pita pita zangu huko Fb picha inayotrend kwa sasa ni huyu mjeshi
Hapo hiyo chuma kampa dogo bila hiyana dogo nae kainua chuma.
S
Sasa swali langu hili ni jeshi gani hapa Bongo lala?je kama ingekuwa na lisasi na dogo akakumbuka Movie zetu za komando kipenzi si hatari hii?au wataalamu wa silaha taratibu zikoje?
Uzi tayari. NB: Jamaa kujipost mwenyewe kasahau Dunia kijiji.
Hapo hiyo chuma kampa dogo bila hiyana dogo nae kainua chuma.
S
Sasa swali langu hili ni jeshi gani hapa Bongo lala?je kama ingekuwa na lisasi na dogo akakumbuka Movie zetu za komando kipenzi si hatari hii?au wataalamu wa silaha taratibu zikoje?
Uzi tayari. NB: Jamaa kujipost mwenyewe kasahau Dunia kijiji.

