Msaada haraka kabla sijakata moto

Msaada haraka kabla sijakata moto

Mkuu ni hatari mtu anapiga huku anataja vitu alivyokosa maishani toka kazaliwa mpaka alipo tena anataja na vijavyo ambavyo anajua ameshaboronga anasubiri matokeo tu!
Watu wanataja mpaka na mikeka humo ndani utasikia maneno hayaeleweki mwishoni unasikia Arsenal..!! Hapo utaelewa tu..

🤣🤣🤣 Asernal


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu ni hatari mtu anapiga huku anataja vitu alivyokosa maishani toka kazaliwa mpaka alipo tena anataja na vijavyo ambavyo anajua ameshaboronga anasubiri matokeo tu!
Watu wanataja mpaka na mikeka humo ndani utasikia maneno hayaeleweki mwishoni unasikia Arsenal..!! Hapo utaelewa tu..
aiseee..
Wewe Ni mchekeshaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aiseee..
Wewe Ni mchekeshaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kiasi fulani naweza sema ndio na mara nyingi huwa napenda kuwachekesha jinsia ya kike sanasana hili hutokea automatic tu.. sisi me huwa tuko serious Sana kushinda wakike pia jiongeze kwanini napenda kuwachekesha wao😜 wanacho ambacho hatuna ila sichekeshi live mkuu ni Kama hivi kwa kuandika live ni mpk nimzoee muhusika kwelikweli!! Maana kindly huwa naona aibu! A kind of introvert one.
 
Kwa kiasi fulani naweza sema ndio na mara nyingi huwa napenda kuwachekesha jinsia ya kike sanasana hili hutokea automatic tu.. sisi me huwa tuko serious Sana kushinda wakike pia jiongeze kwanini napenda kuwachekesha wao wanacho ambacho hatuna ila sichekeshi live mkuu ni Kama hivi kwa kuandika live ni mpk nimzoee muhusika kwelikweli!! Maana kindly huwa naona aibu! A kind of introvert one.
Mbona huko juu wamecheka wa kiume wengi..
Una kipaji Cha kuchekesha,sipati picha watu wako wa karibu wanavyovunjika mbavu kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni hatari mtu anapiga huku anataja vitu alivyokosa maishani toka kazaliwa mpaka alipo tena anataja na vijavyo ambavyo anajua ameshaboronga anasubiri matokeo tu!
Watu wanataja mpaka na mikeka humo ndani utasikia maneno hayaeleweki mwishoni unasikia Arsenal..!! Hapo utaelewa tu..😂
aiseeee,😃😃😃😃
 
Usisahau kutembelea uzi ule wa kula tunda. Baada ya matokeo toka hapa

God save us
Mkuu ule uzi ni kwaajili ya waliosajiliwa kwa alama za vidole sisi wengine Kuna usajili wa aina yake utakuja iandae pua yako vyema tu!
 
Mkuu ule uzi ni kwaajili ya waliosajiliwa kwa alama za vidole sisi wengine Kuna usajili wa aina yake utakuja iandae pua yako vyema tu!
Haha, usisahau kunitag tu

God save us
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom