Kama kichwa kinavyoeleza ninapoishi tumevamiwa na kundi la nzi Kama nyuki kwenye mzinga!Wanakuja mchana,jioni na hata usiku!Wanafikia nje ukifungua tu mlango wanaingia ndani.
Nimejaribu baadhi ya dawa haziwaui wote!Ajabu kila wanapogusa wanaacha alama ya madoa meusi meusi!Nasubiria muda muafaka niwapige picha kisha niwarushie!Hata hivyo kwa sasa mwawezaona madhara waliyosababisha kwenye baadhi ya picha hapa chini!
Nimejaribu baadhi ya dawa haziwaui wote!Ajabu kila wanapogusa wanaacha alama ya madoa meusi meusi!Nasubiria muda muafaka niwapige picha kisha niwarushie!Hata hivyo kwa sasa mwawezaona madhara waliyosababisha kwenye baadhi ya picha hapa chini!