malimingiii
JF-Expert Member
- Nov 20, 2013
- 968
- 1,343
Kati ya watu hewa kwenye online transaction ni CRDB Bank, yan huwa wanablock sana. Mimi mpaka nikahama bank
Hiyo ipo safi sana. Sema hiyo kadi wanayakupa si ndio account yenyewe. Inamaana kwamba kqdi itakuwa na info zako na unaweza kuweka fedha na kutoa.Bank abc ndo safi, sio lazima uwe na acc na wanashauri kwa online purchases usitumie acc yako.
Wanakupa kadi we ndiye unachagua wataka kadi ya dola au ths then unakuwa waweka ela kwa njia ya simu au pale bank wafanya purchases zako
Hiyo ipo safi sana. Sema hiyo kadi wanayakupa si ndio account yenyewe. Inamaana kwamba kqdi itakuwa na info zako na unaweza kuweka fedha na kutoa.Bank abc ndo safi, sio lazima uwe na acc na wanashauri kwa online purchases usitumie acc yako.
Wanakupa kadi we ndiye unachagua wataka kadi ya dola au ths then unakuwa waweka ela kwa njia ya simu au pale bank wafanya purchases zako
Hiyo ipo safi sana. Sema hiyo kadi wanayakupa si ndio account yenyewe. Inamaana kwamba kqdi itakuwa na info zako na unaweza kuweka fedha na kutoa.