bright platnumz
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,740
- 3,659
Nime kumbuka O level nlikua na jamaa alikua ni kikojozi nkawa nam tunzia siri afu tuki fika kwa watu wengi ana vunga mjanja ana nigeuka kama ani jui......
kuna siku aliji laza kwenye bed yangu kumbe kapitiwa aka kojoa wee nli mfulisha adi nguo zangu ambazo nlikua sina ata mpango wa kuzifua .....japo nli kula sana rushwa ili nisi mseme kwa watu adi tuna maliza amna aliye wai jua kama jamaa alikua ni kikojozi
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna siku aliji laza kwenye bed yangu kumbe kapitiwa aka kojoa wee nli mfulisha adi nguo zangu ambazo nlikua sina ata mpango wa kuzifua .....japo nli kula sana rushwa ili nisi mseme kwa watu adi tuna maliza amna aliye wai jua kama jamaa alikua ni kikojozi
Sent using Jamii Forums mobile app