Lendela /lumala ni nini kwa kiingereza nime google halipo kuhusiana na magonjwa.Lumala hiyo,aka lendela. Watakufa wote. Wape maji yenye chumvi.
Wewe kweli ni sheitani/shetaniWana UTI hao
Wana afya, wako vizuri kimwili, hawajakonda wanene lakini hawako active kama ninavyowajua. Ulikuwa ukileta chakula wanakutafuna miguu ukichelewa kuwapa na wanamaliza hapo hapo,, unaongeza wanamaliza,then wanatulia! mpaka wanye sana, then unawapa tena. maji walikuwa wanakunywa kwa wingi sasa wanakunywa kidogo.Wako mbali sana umeshindwa kuweka kapicha
Inshort ugonjwa wa kuhara, so lazima wakose nguvu.lendela /lumala ni nini kwa kiingereza nime google halipo kuhusiana na magonjwa.
tatizo ni unywaji na bata si rahisi kumnywesha kwa nguvu.
Mbona twafatiliana shekhwewe kweli ni sheitani/shetani
Sasa naku block ili nisikufuaatilie sheikhMbona twafatiliana shekh
Kama ningekuwa nataka kufuatiliwa ningeenda insta kutafuta followersSasa naku block ili nisikufuaatilie sheikh
That is the best advice, thanks a lot!Ungewaona Wataalam Kwenye Maduka Ya Dawa Za Mifugo Kupata Angalau Dawa Itakayofaa Kabla Hujapata Hasaraa
hapana, let me do it todayUnawapa chanjo ya mdondo
Pole Mkuu, najua hali uliyo nayo kwa sasa. Viumbe wako ukiwazoea wakiugua nawewe pia ni kama umeugua kama nakuona vile hujapata usingizi leo.hapana, let me do it today
Sure , ila wana improvement, wameanza kula na kunywa maji. Nilitumia utaratibu wa kuomba msaada kwa wauzaji wa dawa za mifugo. It seems to work. na sasa niliamka kuwapa dawa tena. Imagine una ngombe anatoa lita 20 za maziwa a day, anaugua, huwezi kulala! I have one! Thanks for carering!Pole Mkuu, najua hali uliyo nayo kwa sasa. Viumbe wako ukiwazoea wakiugua nawewe pia ni kama umeugua kama nakuona vile hujapata usingizi leo.
Sidhani, wanasoma nadharia tu! Mpaka upate mtu ambaye ana practice, yuko kwenye farm, hawa wa vyuoni hawajui!Wale wa SUA waje huku watoe solution to the problem.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Kama hukueapa na wana mdondo too bad walioathirika watakufhapana, let me do it today