Sahonero New Member Aug 10, 2019 1 1 Apr 3, 2023 #1 Jamani wadau naomba kuuliza, huyu mbuzi imemuanza shida hyo. Je, huo utakuwa ni ugonjwa gani na tiba yake ni nini?
Jamani wadau naomba kuuliza, huyu mbuzi imemuanza shida hyo. Je, huo utakuwa ni ugonjwa gani na tiba yake ni nini?
mugah di matheo JF-Expert Member Jul 28, 2018 6,276 12,336 Apr 4, 2023 #2 Piga tetracycline tu hao ni fangasi tu