Msaada: Anayejua kuhusu hili shirika naomba anisaidie

Msaada: Anayejua kuhusu hili shirika naomba anisaidie

MJOMBA CHAKA

Member
Joined
Oct 22, 2022
Posts
89
Reaction score
69
Maeneo ya kimara suka dsm, kuna shirika linaloitwa (UM) United Mission. Au jina lingine ni Foundation Mission Tanzania (FMT). Wanajihusisha na utoaji misaada kwa jamii, kama kujenga misikiti, makanisa, mashule, uchimbaji visima na mambo mengine kede kede.

Wanatoa kazi na misaada kwa wanachama wao, ili uwe mwanachama, itakulazimu utoe elf 92 kama ada ya uanachama.

Shirika litakapoanza kazi rasmi, wanachama watapewa misaada ya vyakula, kama ngano, unga. Mchele, mafuta na kadhalika.

Jamaa wawili watatu wapo huko na wananishawishi nijiunge. Kabla sijafanza lolote, naona bora niulize. Ili mwenye kujua anijuze. Isije kuwa ni mashirika mengine ya kitapeli, kama deci na kadharika.

Naomba kuwasilisha
 
Maeneo ya kimara suka dsm, kuna shirika linaloitwa (UM) United Mission. Au jina lingine ni Foundation Mission Tanzania (FMT). Wanajihusisha na utoaji misaada kwa jamii, kama kujenga misikiti, makanisa, mashule, uchimbaji visima na mambo mengine kede kede....
Wa kwanza kwanza huwa wanafaidika,we ingiza pesa,
 
Maeneo ya kimara suka dsm, kuna shirika linaloitwa (UM) United Mission. Au jina lingine ni Foundation Mission Tanzania (FMT). Wanajihusisha na utoaji misaada kwa jamii, kama kujenga misikiti, makanisa, mashule, uchimbaji visima na mambo mengine kede kede...
Mbona tunapenda mitelezo!!! Taasisi inajenga misikiti na makanisa ya wanachama wangapi? Kwa nini utoe kiingilio? cha 92elfu? Ni aina ya Mzee kalynda wa rangi nyegine. Kijana shtuka ukimbie...
 
Hao ni matapeli tena kama unapajua ofisini kwao nenda kawapige makofi na walete sentro waoneshe uhalali wao wa kuchukua pesa za wananchi.

Narudia tena hao ni matapeli kimbia mbio hata kama hujavaa chupi.
 
Maeneo ya kimara suka dsm, kuna shirika linaloitwa (UM) United Mission. Au jina lingine ni Foundation Mission Tanzania (FMT). Wanajihusisha na utoaji misaada kwa jamii, kama kujenga misikiti, makanisa, mashule, uchimbaji visima na mambo mengine kede kede.

Wanatoa kazi na misaada kwa wanachama wao, ili uwe mwanachama, itakulazimu utoe elf 92 kama ada ya uanachama.

Shirika litakapoanza kazi rasmi, wanachama watapewa misaada ya vyakula, kama ngano, unga. Mchele, mafuta na kadhalika.

Jamaa wawili watatu wapo huko na wananishawishi nijiunge. Kabla sijafanza lolote, naona bora niulize. Ili mwenye kujua anijuze. Isije kuwa ni mashirika mengine ya kitapeli, kama deci na kadharika.

Naomba kuwasilisha
Nielekeze walipo mbona tunabeti na kuliwa
 
Mbona unavyowaelezea ni kama unawa Promote?
 
Maeneo ya kimara suka dsm, kuna shirika linaloitwa (UM) United Mission. Au jina lingine ni Foundation Mission Tanzania (FMT). Wanajihusisha na utoaji misaada kwa jamii, kama kujenga misikiti, makanisa, mashule, uchimbaji visima na mambo mengine kede kede.

Wanatoa kazi na misaada kwa wanachama wao, ili uwe mwanachama, itakulazimu utoe elf 92 kama ada ya uanachama.

Shirika litakapoanza kazi rasmi, wanachama watapewa misaada ya vyakula, kama ngano, unga. Mchele, mafuta na kadhalika.

Jamaa wawili watatu wapo huko na wananishawishi nijiunge. Kabla sijafanza lolote, naona bora niulize. Ili mwenye kujua anijuze. Isije kuwa ni mashirika mengine ya kitapeli, kama deci na kadharika.

Naomba kuwasilisha
Wameshakuona wewe ni fursa. Hiyo ni Kalyanda nyingine. Kaa nao mbali
 
Maeneo ya kimara suka dsm, kuna shirika linaloitwa (UM) United Mission. Au jina lingine ni Foundation Mission Tanzania (FMT). Wanajihusisha na utoaji misaada kwa jamii, kama kujenga misikiti, makanisa, mashule, uchimbaji visima na mambo mengine kede kede.

Wanatoa kazi na misaada kwa wanachama wao, ili uwe mwanachama, itakulazimu utoe elf 92 kama ada ya uanachama.

Shirika litakapoanza kazi rasmi, wanachama watapewa misaada ya vyakula, kama ngano, unga. Mchele, mafuta na kadhalika.

Jamaa wawili watatu wapo huko na wananishawishi nijiunge. Kabla sijafanza lolote, naona bora niulize. Ili mwenye kujua anijuze. Isije kuwa ni mashirika mengine ya kitapeli, kama deci na kadharika.

Naomba kuwasilisha
Hakuna kitu kama hicho yaani upewe msaada kwa kuwachangia wao sasa nini maana ya msaada hapo mtapigwa vibaya sana.. narudia tena mtalizwaaa
 
Back
Top Bottom