Mrundikano kitaa: Kozi hizi zipigwe stop miaka mitatu, kazi zinatoka taratibu kwa wahitimu

Kaka fine arts usiichukulie poa.
Mimi nimesoma hiyo na darasa langu wote either wameajiriwa au wamejiajiri.

Kozi nzuri sana hiyo kama una talent ya kuchora plus creativity huwezi kufa njaa hata siku moja.

Imagine kuna Graphics Design humo. Unapiga kazi uko home kazi dk 20 unatumiwa elfu 50 yako chap.

Bado hujapiga kwenye printing.
Archaeology and history
Fine arts
Education in arts
 
Asa mtu aliesoma busness administration au finance accoutance anataka aajiliwe na serikali kivipi wakati yeye anaweza kujiajili endapo akipata mtaji?
Kwangu mimi navoona kwa mtu yeyote aliesomea maswala ya biashara na fedha yeye kidogo ndo mwenye kaunafuu kwasababu anaweza kufungua biashara zake na akasimamia vizuri kilaam.
Mbona watu ambao hawajaenda shule wanapiga mishe zao na zinaenda vizuri iweje watu wenye elimu wanashindwa kubuni mikakati ya kujiajiti na kutengeneza ajiraa kwa wengne
 
Mtoto wa maskini ambaye hana hata tu-connection unamkuta anasoma haya madude,

- LAW
- PROCUREMENT
- BUSINESS ADMN.
- PHILOSOPHY (Hii huwa nashangaa kwelikweli)
- SOCIOLOGY
- PUBLIC RELATIONS (Hawa ukiwakuta chuoni wanavyoringa sasa, wakati wanakuja kusota mpaka wanapauka)
- HUMAN RESOURCE
- COMMUNITY DEVELOPMENT.
Kwenye law hapo unataka connection ya kuelekea wapi??
 
Halafu Malecturers wakale wapi?.Hilo ni la Mwanafunzi mwenyewe kujiongeza akizubaa inakula kwake.This world has turned into something 'selfish'.Umimi mwingiiiii
MUHIMU: MAADA INALENGA KUTEGEMEA KOZI ILI KUAJIRIWA (SIO KUJIAJIRI)

Kozi hizi ni
-ualimu (education)
-Procurement na Logistics
-Marketing
-Petroleum Chemistry
-Business Administration
- Marketing

Vyuo vinapodahili wanafunzi wawe wanaangalia hali ya idadi za ajira na wahitimu wa hizi fani, Kozi tajwa hapo juu ni nadra sana kutangazwa ajira na hapo hapo kuna wahitimu wengi ambao bado wanasubiri ajira zinazotoka chache kwa spidi ya kobe.

Kwa mfano, Kozi ya procurement kila mwaka wahitimu wanaweza kufikia elfu 5 ila ni ajira 10 tu mwaka mzima hutolwa na serikali. Kutoka mwaka 2015 hadi sasa panaweza kuwa na wahitimu wa fani hii elfu 15 ambao bado hawajapata ajira hizi chache zinaotoka taratibu.

Ningependa serikali iwe na mkakati mzuri wa kuvielekeza chuo kwamba idadi Fulani ya wahitimu ikifikia basi kozi inabidi zisimame kwa kipindi Fulani hivi.
 
Jiulize kwa nini wanapendelea ajira serikalini badala ya private.
HAPANA MKUU HAPO KWENYE HIO LISTI TOA BBA NA MARKETING SIO KWELI ETI NI FANI AMBAZO HAZINA UMUHIMU.
KWA BBA NA MARKETING ZINA SOKO KUBWA LA AJIRA. SEMA KWA MARKETING ITAKULIMIT USPECIALIZE KWENYE KAZI ZA MASOKO TU ILA KWA BBA UNAWEZA KUFANYA KAZI ZA HR, ACCOUNTANT, MARKETING, PROGRAM OFFICER WA NGO, AFSA MTENDAJI WA KATA NA SEHEMU ZINGINE.

HATA KWENYE UALIMU SI KWELI KWAMBA NI FANI AMBAYO MTU AMEPOTEZA MUDA WAKE KUSOMA UALIMU, MBONA KUNA SHULE ZA PRIVATE KIBAO KWENYE KILA MTAA. TATIZO LILIOPO KWENYE FANI YA UALIMU NI KWAMBA TAYARI KUNA MENTALITY IMESHAJENGWA KWENYE VICHWA VYA WALIMU KWAMBA KILA MTU ANATAKA KUAJIRIWA SERIKALINI YAANI HAWATAKI KUAJIRIWA PRIVATE SCHOOLS. YAANI KILA MTU AMESHAONA SERIKALINI NI HOTCAKE KWA AJIRA ZA UALIMU, MATOKEO YAKE WALIMU WENGI HAWANA INTEREST ZA KUFUNDISHA PRIVATE SCHOOLS. WANAFOSI KUAPPLY GOVT WAKATI NAFASI NI CHACHE.
HAPO ZAMANI WALIMU WALIKUWA WANAANGALIA FURSA SEHEMU ZOTE NA HAWAKUWA NA HII MENTALITY ILIYOPO SASAHIVI KWA WALIMU WA KIZAZI HIKI. WANATAKA KUAJIRIWA SEHEMU MOJA TU.
 
Kuhusu kwa kozi kupigwa marufuku ili swala halitoweza kutokea kwa miaka ya sasa.

Swala la ajira nchini limekuwa Ni changamoto Sana nini kifanyike Ni wahitimu kuweza kuwashawishi wazazi/walezi wao kuwapatia kiasi ambacho kitaweza kuwasaidia kufungua biashara yoyote ile.

Fursa zipo nyingi nchini Ni kilichobaki wahitimu kuondoa nadharia ya kuajiriwa ndani ya vichwa vyao na kuanza kujiajiri wao wenyewe.
Upo sawa kabisa
 
MUHIMU: MAADA INALENGA KUTEGEMEA KOZI ILI KUAJIRIWA (SIO KUJIAJIRI)

Kozi hizi ni
-ualimu (education)
-Procurement na Logistics
-Marketing
-Petroleum Chemistry
-Business Administration
- Marketing

Vyuo vinapodahili wanafunzi wawe wanaangalia hali ya idadi za ajira na wahitimu wa hizi fani, Kozi tajwa hapo juu ni nadra sana kutangazwa ajira na hapo hapo kuna wahitimu wengi ambao bado wanasubiri ajira zinazotoka chache kwa spidi ya kobe.

Kwa mfano, Kozi ya procurement kila mwaka wahitimu wanaweza kufikia elfu 5 ila ni ajira 10 tu mwaka mzima hutolwa na serikali. Kutoka mwaka 2015 hadi sasa panaweza kuwa na wahitimu wa fani hii elfu 15 ambao bado hawajapata ajira hizi chache zinaotoka taratibu.

Ningependa serikali iwe na mkakati mzuri wa kuvielekeza chuo kwamba idadi Fulani ya wahitimu ikifikia basi kozi inabidi zisimame kwa kipindi Fulani hivi.
Hapo rafiki tutatofautiana. Kila kozi hapo ina maana na mtu awezaitumia na akatoka bila kusubiri ajira. Sema mfumo wetu feki ! Mtu usome ualimu ile unamaliza weka makuti darasa tayari. Namfahamu dogo mmoja kumaliza diploma ya ualimu Huyo akaanzisha tuition primary, akashuk akaanzisha na chekechea akaanza kuajiri, akaanzisha na tuition ya sekondari sasa hivi imesajiliqa kama open school! Ana walimu zaidi 30 kufundisha kuanzia chekechea hadi sekondari. Yuko vizuri.
Kuna mwingine kamaliza bba sasa hivi ana big firm ya training, consultancy na ukaguzi na ufungaji wa mahesabu. Upon?
Mtoto wa maskini ambaye hana hata tu-connection unamkuta anasoma haya madude,

- LAW
- PROCUREMENT
- BUSINESS ADMN.
- PHILOSOPHY (Hii huwa nashangaa kwelikweli)
- SOCIOLOGY
- PUBLIC RELATIONS (Hawa ukiwakuta chuoni wanavyoringa sasa, wakati wanakuja kusota mpaka wanapauka)
- HUMAN RESOURCE
- COMMUNITY DEVELOPMENT.
 
hapana mkuu,kozi za ualimu watu wanaoajiriwa baada ya kuhitimu ni 10% kumfundisha mtu wakati unajua akihitimu hana kazi ni WIZI!!! ingekua capped kuwa wanaohitajika kusoma ni 10,000 number inakua hio hio...mpaka soko lao la ajira linabalance..
Hilo inatakiwa mwanafunzi mwenyewe afanye utafiti wa kutosha na kujiridhisha kabla.Mkumbo mbaya sana.
 
Business Admistration ndio kozi tamu za biashara kuliko zote haya twende sawa sasa

Accountant kwanini unaweza kuwa accountant kwa sababu utasoma haya
Business Accounting
Cost Accounting
Qualitative Methods
Taxation
Financial management
Corporate Finance
Management Accounting
Risk management

Ndio maana ukisoma BBA ukitaka kuchukua CPA unaondolewa masomo 3 na unafanya 3 from foundation level
Sasa kama mwanafunzi alikuwa smart na izo modules na akafanya hata internship ya miez 6 anakuwa muhasibu mzuri tu hapo ukiongeza na accounting software kama pitchtil, Tally na quick books fresh sana

Anaweza kuwa Human resource kutokana na mambo yafuatayo

Management Principles and Practices
Business Organasation and Management
Business Law ( Employment and labour relation act 2004, law of contract, sale of good act)
Human resource Management( Hr Manual, Recruitment and selection, Training and development, Labour disputes, Application Tracking systems and Performance management)
Organasation behaviour
Management information system
Business Contract management ( Hapa mambo yote ya CMA yapo hapa)
Strategic Management hapa unaelekezwa mambo ya Policies
Corporate governance hapa mnafundishwa legal compliance zote kama OSHA, WCF, NSSF and NHIF

Haya anaweza kuwa katika Marketing au Sales kutokana na yafuatayo
Business Environment
Marketing Management
International business
Marketing research
Service marketing
E-commerce

kwa kusema hivyo huyu aliyesoma BBA ni more valuable and potential kwa hayo maeneo 3 mwisho wa kuchangia






 
Asa mtu aliesoma busness administration au finance accoutance anataka aajiliwe na serikali kivipi wakati yeye anaweza kujiajili endapo akipata mtaji?
Kwangu mimi navoona kwa mtu yeyote aliesomea maswala ya biashara na fedha yeye kidogo ndo mwenye kaunafuu kwasababu anaweza kufungua biashara zake na akasimamia vizuri kilaam.
Mbona watu ambao hawajaenda shule wanapiga mishe zao na zinaenda vizuri iweje watu wenye elimu wanashindwa kubuni mikakati ya kujiajiti na kutengeneza ajiraa kwa wengne
Kujiajili ndio nini? mnakera sana msojua Kiswahili!
 
Business Admistration ndio kozi tamu za biashara kuliko zote haya twende sawa sasa

Accountant kwanini unaweza kuwa accountant kwa sababu utasoma haya
Business Accounting
Cost Accounting
Qualitative Methods
Taxation
Financial management
Corporate Finance
Management Accounting
Risk management

Ndio maana ukisoma BBA ukitaka kuchukua CPA unaondolewa masomo 3 na unafanya 3 from foundation level
Sasa kama mwanafunzi alikuwa smart na izo modules na akafanya hata internship ya miez 6 anakuwa muhasibu mzuri tu hapo ukiongeza na accounting software kama pitchtil, Tally na quick books fresh sana

Anaweza kuwa Human resource kutokana na mambo yafuatayo

Management Principles and Practices
Business Organasation and Management
Business Law ( Employment and labour relation act 2004, law of contract, sale of good act)
Human resource Management( Hr Manual, Recruitment and selection, Training and development, Labour disputes, Application Tracking systems and Performance management)
Organasation behaviour
Management information system
Business Contract management ( Hapa mambo yote ya CMA yapo hapa)
Strategic Management hapa unaelekezwa mambo ya Policies
Corporate governance hapa mnafundishwa legal compliance zote kama OSHA, WCF, NSSF and NHIF

Haya anaweza kuwa katika Marketing au Sales kutokana na yafuatayo
Business Environment
Marketing Management
International business
Marketing research
Service marketing
E-commerce

kwa kusema hivyo huyu aliyesoma BBA ni more valuable and potential kwa hayo maeneo 3 mwisho wa kuchangia
Wenye specialized proffesion za uhasibu huwa tunafurahi sana watu wa business administration wanapokuja kusomea c.p.a, Yani inakuwa ni ushahidi tosha walisomea kozi wasizotaka ama kujaribu kutaka kurekebisha makosa yao, Why uanze ku pursue career ya uhasibu baada ya degree, kwanini usingeanzaga tangu form six, diploma ama degree.

Business administration ansoma vitu kwa juu juu vinavyohusu kusimamia biashara iwe yake au ya mwengine, Haijalenga kumfanya mtu kuwa na specialized profession ya uhasibu ila kumfanaya mtu awe na basic knowledge katika accounting, procurement, marketing, etc, Yaani kwa juu juu tu na sio kuwa nondo, Hapo hata kazi za ku audit huyo mwenye business administration anatoka kapa maana hajasomea auditing, hata tax hajabobea maana kasoma tu basic taxation.

Binafsi nilikua naipenda taaluma hii toka o-level, form six nikasoma E.C.A, chuo nikasomea Accountancy na nikamalizia na C.P.A, Hii inaonyesha jinsi nlivyokuwa na focus ya muda mrefu kupata taaluma ya uhasibu toka nikiwa mdogo.

Watu wa procurementM business administration na hata marketing huanza kosomea C.P.A na masomo matatu ya foundation ili kupata msingi, kwa watu wa Business administration. Mtu mwenye degree ya Accounting pekee kama mimi ndio tunapewa go ahead ya kuanzia Intermediate stage.

Karibuni ku specialize uhasibu, Ofisi nyingi sana zinahitaji wahasibu.
 
Business Admistration ndio kozi tamu za biashara kuliko zote haya twende sawa sasa

Accountant kwanini unaweza kuwa accountant kwa sababu utasoma haya
Business Accounting
Cost Accounting
Qualitative Methods
Taxation
Financial management
Corporate Finance
Management Accounting
Risk management

Ndio maana ukisoma BBA ukitaka kuchukua CPA unaondolewa masomo 3 na unafanya 3 from foundation level
Sasa kama mwanafunzi alikuwa smart na izo modules na akafanya hata internship ya miez 6 anakuwa muhasibu mzuri tu hapo ukiongeza na accounting software kama pitchtil, Tally na quick books fresh sana

Anaweza kuwa Human resource kutokana na mambo yafuatayo

Management Principles and Practices
Business Organasation and Management
Business Law ( Employment and labour relation act 2004, law of contract, sale of good act)
Human resource Management( Hr Manual, Recruitment and selection, Training and development, Labour disputes, Application Tracking systems and Performance management)
Organasation behaviour
Management information system
Business Contract management ( Hapa mambo yote ya CMA yapo hapa)
Strategic Management hapa unaelekezwa mambo ya Policies
Corporate governance hapa mnafundishwa legal compliance zote kama OSHA, WCF, NSSF and NHIF

Haya anaweza kuwa katika Marketing au Sales kutokana na yafuatayo
Business Environment
Marketing Management
International business
Marketing research
Service marketing
E-commerce

kwa kusema hivyo huyu aliyesoma BBA ni more valuable and potential kwa hayo maeneo 3 mwisho wa kuchangia

Well elaborated.
 
Back
Top Bottom