Mrundikano kitaa: Kozi hizi zipigwe stop miaka mitatu, kazi zinatoka taratibu kwa wahitimu

Mtoto wa maskini ambaye hana hata tu-connection unamkuta anasoma haya madude,

- LAW
- PROCUREMENT
- BUSINESS ADMN.
- PHILOSOPHY (Hii huwa nashangaa kwelikweli)
- SOCIOLOGY
- PUBLIC RELATIONS (Hawa ukiwakuta chuoni wanavyoringa sasa, wakati wanakuja kusota mpaka wanapauka)
- HUMAN RESOURCE
- COMMUNITY DEVELOPMENT.
Unataka nisome Education ili nichekwe ?
 
P
HAPANA MKUU HAPO KWENYE HIO LISTI TOA BBA NA MARKETING SIO KWELI ETI NI FANI AMBAZO HAZINA UMUHIMU.
KWA BBA NA MARKETING ZINA SOKO KUBWA LA AJIRA. SEMA KWA MARKETING ITAKULIMIT USPECIALIZE KWENYE KAZI ZA MASOKO TU ILA KWA BBA UNAWEZA KUFANYA KAZI ZA HR, ACCOUNTANT, MARKETING, PROGRAM OFFICER WA NGO, AFSA MTENDAJI WA KATA NA SEHEMU ZINGINE.

HATA KWENYE UALIMU SI KWELI KWAMBA NI FANI AMBAYO MTU AMEPOTEZA MUDA WAKE KUSOMA UALIMU, MBONA KUNA SHULE ZA PRIVATE KIBAO KWENYE KILA MTAA. TATIZO LILIOPO KWENYE FANI YA UALIMU NI KWAMBA TAYARI KUNA MENTALITY IMESHAJENGWA KWENYE VICHWA VYA WALIMU KWAMBA KILA MTU ANATAKA KUAJIRIWA SERIKALINI YAANI HAWATAKI KUAJIRIWA PRIVATE SCHOOLS. YAANI KILA MTU AMESHAONA SERIKALINI NI HOTCAKE KWA AJIRA ZA UALIMU, MATOKEO YAKE WALIMU WENGI HAWANA INTEREST ZA KUFUNDISHA PRIVATE SCHOOLS. WANAFOSI KUAPPLY GOVT WAKATI NAFASI NI CHACHE.
HAPO ZAMANI WALIMU WALIKUWA WANAANGALIA FURSA SEHEMU ZOTE NA HAWAKUWA NA HII MENTALITY ILIYOPO SASAHIVI KWA WALIMU WA KIZAZI HIKI. WANATAKA KUAJIRIWA SEHEMU MOJA TU.
Good
 
Kwakweli umenivua nguo kwa hiyo kauli yako ya mwanzoni kabisa kuwa huenda mimi ni Form 6 au first year. Mkuu, nimemaliza chuo kitambo na hapa nina cheti changu maridhawa tu, holding bachelor degree. Niliyoyasema hapo ni kutokana na uzoefu wangu wa watu niliosoma nao na mpaka leo hii wanarandaranda tu, wengine hata whatsapp hawapatikani maana simu walishauza kwa ugumu wa maisha.

Wengine mpaka waliona wajirudi na kusoma ualimu (kipindi hiko ingali bado ina soko) ili wapate kujikomboana ajira. Kwa mtoto wa masikini ambaye wazazi wake wanamtarajia anatoka chuoni aje kuwasaidia kisha anakaa nyumbani tena miaka mitatu na kwenda mbele akibadili tu bahasha ya kubebea CV si kitu kidogo.

Kuna baadhi ya kazi kama hauna wa kumshika mkono kwa wewe kapuku, achana nazo mzee.

Hahaha sorry mkuu unajua hapa JF huwa lazima tucharuane kidogo ni ka utamaduni ketu siku zote.

But trust me, mtu wa HRM na BBA wana nafasi kwa sasa kuliko Education na taaluma nyingine, ishu kubwa ni kuwa taaluma zao ni kiraka zinampa mtu nafasi iwe private ai government.
 
Huo ndio uhalisia, sijasoma uchumi ila nina uelewa vizuri sana, kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa DEMAND AND SUPPLY, vyuo vyetu vina supply graduates alafu makampuni yana demand. Naomba uniamini kuanzia sasa kuwa pamoja na kwamba Medicine ni kozi ngumu ila kuna kipindi haitakua na dili tena kwasababu demand itakua kwenye zero level, tena nakwambia itakua ukienda hospitali kupeleka CV unaishia getini kwa mlinzi
 
Hahaha sorry mkuu unajua hapa JF huwa lazima tucharuane kidogo ni ka utamaduni ketu siku zote.

But trust me, mtu wa HRM na BBA wana nafasi kwa sasa kuliko Education na taaluma nyingine, ishu kubwa ni kuwa taaluma zao ni kiraka zinampa mtu nafasi iwe private ai government.
Maisha ya ajira matamu sana wala hutumii nguvu, mimi kama nitajiajili basi ni kwenye politics tu lkn sio kuuza machungwa
 
Kwa akili hizi acha CCM iendelee kutawala, kwahiyo mnasoma ili muajiriwe!!
 
HAPANA MKUU HAPO KWENYE HIO LISTI TOA BBA NA MARKETING SIO KWELI ETI NI FANI AMBAZO HAZINA UMUHIMU.
KWA BBA NA MARKETING ZINA SOKO KUBWA LA AJIRA. SEMA KWA MARKETING ITAKULIMIT USPECIALIZE KWENYE KAZI ZA MASOKO TU ILA KWA BBA UNAWEZA KUFANYA KAZI ZA HR, ACCOUNTANT, MARKETING, PROGRAM OFFICER WA NGO, AFSA MTENDAJI WA KATA NA SEHEMU ZINGINE.

HATA KWENYE UALIMU SI KWELI KWAMBA NI FANI AMBAYO MTU AMEPOTEZA MUDA WAKE KUSOMA UALIMU, MBONA KUNA SHULE ZA PRIVATE KIBAO KWENYE KILA MTAA. TATIZO LILIOPO KWENYE FANI YA UALIMU NI KWAMBA TAYARI KUNA MENTALITY IMESHAJENGWA KWENYE VICHWA VYA WALIMU KWAMBA KILA MTU ANATAKA KUAJIRIWA SERIKALINI YAANI HAWATAKI KUAJIRIWA PRIVATE SCHOOLS. YAANI KILA MTU AMESHAONA SERIKALINI NI HOTCAKE KWA AJIRA ZA UALIMU, MATOKEO YAKE WALIMU WENGI HAWANA INTEREST ZA KUFUNDISHA PRIVATE SCHOOLS. WANAFOSI KUAPPLY GOVT WAKATI NAFASI NI CHACHE.
HAPO ZAMANI WALIMU WALIKUWA WANAANGALIA FURSA SEHEMU ZOTE NA HAWAKUWA NA HII MENTALITY ILIYOPO SASAHIVI KWA WALIMU WA KIZAZI HIKI. WANATAKA KUAJIRIWA SEHEMU MOJA TU.


Sawa, ila hizi kapito letaz zinaumiza macho mkuu.
 
Namfananisha na dogo mmoja wakti tupo chuo alikua akipondea sana kozi ya ualimu ( ye alikua BPRM) AKAWA anajinasibu kuwa wao kazi zao ni bank na the like nkawa namuangalia kisha nasema hihihihihihi! Namsubir amalize chuo af nimtafte after one year nione atakua wapi.
Mkuu hizo gani unazotetea watu wanahangaika Nazo sana, hio marketinting inawavutia watu wakisikia kwamba kina twisa wa Vodacom wanavuta 30M kila mwezi kumbe ni kazi mno kufikia hizo level na ajira ni chache mno zaidi ya mno kwenye marketing. Hao business administration wana taaluma mahususi ya kusimamia miradi na wanafaa kujiajiri, huku kuingia kufanya kazi za uhasibu kwasababu walisoma introduction ya accounting semester ya kwanza labda hizo kazi wapewe na kaka zao, fani ya uhasibu ni pana mno mtu wa business administration kagusa introduction tu.

Kuhusu walimu kupenda kufabyia serikalini ni kwamba wana uhakika wa mshahara stable na wanaweza kupewa mikopo ya serikali, hizi shule za private ni mizenguo na nimeshudia walimu wazuri kabisa wanalipwa 300k kwa mwezi bila stability wakati serikali ni kila mwezi inaingia laki 5 n mkopo kwa juu.

Bado unasoma chuo au??
 
Back
Top Bottom