mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Wana JF naomba ufafanuzi kidogo,
Ni kigezo gani hutumika kujua kwamba huyu awe namba moja na huyu awe wa 102.
ni CV zao au huwa wanafanyiwa usaili?
Nadhani vema kufahamu criteria inayotumika kumweka mtu wa kwanza,,pili,tatu..., ni alphabet ya jina, kura jimboni kwake,usaili flani unaofanywa na chama au vp