vyeo vya marafiki na undugu kumbe hata chadema viko maana tunaambiwa na kuaminishwa kuwa ni Jk tu ndiye anachagua watu wake wa karibu
Wanasiasa wetu wengi (bila kujali chama) ni WAHANJAJI...NIKIPATA UONGOZI NIMEFUNGUA MKONDO WA ULAJI....
Kama wapiga kura, moja ya kazi muhimu kuliko zote wakati wa uchaguzi ni kuweza kufanya maamuzi sahihi ya nani mnayemchagua aisye KIJAZA TUMBO bali kiongozi to be....