Huyu jamaa ana mtindio wa ubongo,kwani cheo cha unaibu waziri mkuu kipo kwenye katiba??Hana jipya siunaona anasema nayeye anastahili kulipwa posho yake kwakuwa alikuwa Naibu waziri? Alikuwa anatafuta huruma ya ccm ili imlipe, ila kiukweli Mrema nimganga njaa
Anadai Cheo chochote kinachokuwa created na Rais basi kinatambulika kisheria na yeye alipewa cheo hicho na Baba wa Taifa JK Nyerere kwa hiyo anapaswa kulipwa.Huyu jamaa ana mtindio wa ubongo,kwani cheo cha unaibu waziri mkuu kipo kwenye katiba??
A Political Man is a like Medicine Come Up wit an Expire Date.Unajua wagogo wanasema "mbwa aliyekonda umwaibisha mwenye mbwa!!" Mrema anawaabisha wapiga kura wa Vunjo! Nadhani watu wa Vunjo wanastahili mbunge mwenye hadhi kuliko huyu Mrema ambaye ni bidhaa iliyokwisha muda wake kuuzwa. Inabidi kutupwa kwenye jalala.
A Political Man is a like Medicine Come Up wit an Expire Date.
na wewe kaolewe pleaseeeeeeeeeeeeeeee!Mrema si anatoka TLP? wanajuana hawo CDM na TLP wote si wameolewa na CCM Arusha
Mrema is a full psychiatric case. Either uwe mpinzani au chama tawala issue ni what do you stand for.. Mrema ni worse hajui kanisa anasimamia nini. Na kwa bunge letu kama huna hoja au anything of substance unachoweza kufanya ni kuponda upinzani na kusifia bajeti kuwa ni nzuri...na kumsifia aliyeleta hoja... imagine waziri analeta hoja kwa maana ya kufanyiwa improvement mibunge useless wanasimama na kusema ni nzuri sana...mhe Mrema yuko live bungeni anaponda maandamano