CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,929
A wolf among werewolves..........
ritz una matege ya mikonoMrema si anatoka TLP? wanajuana hawo CDM na TLP wote si wameolewa na CCM Arusha
Cheo cha naibu meya wakupokezana nasikia kipo kwenye katiba
Huyu mrema cjui anavutaga bangi au vp,maana me cmuelew kabisa.
Kuna wabunge ukisikia wanatajwa kwenye orodha ya kuongea inabidi ikifa zamu yake ubadilishe channel kwanza mpaka amalize bcse the end of the day atakuboa tu! mmojawapo ni huyo Lyatonga. Ameshachoka kisiasa akapumzike
Jaman hivi katika watu Mrema nae ni mtu???? Ni kumsamehe tu kwani nae sie. yule hata akiongea kitu cha maana hawez kuwa considered kwani tushamtoa kwenye watu na kumgroup kwenye ignore list. Mrema yupo duniani kama hayupo duniani vile.
Dah huyu jamaaa hana tena Sera kasema ana siri nyingi sana za Serikali akiwa naibu waziri so wamlipe aitetee serikali (CCM)
Hizo ni dalili za mtu anapokaribia kufa. Mrema yuko karibu kabisa na kaburi, kimwili na kimawazo.
Natoa wito kwa wanachama wa tlp tz nzima wajiondoe kutoka ktk chama hicho na kumwacha mrema pekee. Msipo utii wito wangu, basi ninyi nyote si wapiganaji bali ni waganga njaa. Endeleeni.
Mh.Mrema Njaa itamuua,anaifagilia serekali ya CCM kwa sababu ya njaa tu!!!
Muda mfupi uliopita mheshimiwa Augustino Lyatonga Mrema ametoka kuchangia hotuba ya bajeti ya Waziri mkuu! Nimemuangalia na kumsikiliza kwa makini sana na nikajikuta namuonea huruma sana! Ameanza kwa kuponda sana mikutano na maandamano ya CDM kwa kisingizio kisicho na mashiko cha amani kama wanavyotumia wenye chama cha magamba! Akanukuu habari inayozungumzia hali ilivyo nchini Misri kwamba watalii hawaendi na uchumi unaelekea kubaya! Akabwabwaja utumbo mwingi akizitaja nchi kama Tunisia, Libya, Misri, Kenya na nyinginezo akijaribu kuboresha hoja yake! Kumbe muda wote huo alikuwa akijikomba kwa Chama cha magamba kwa sababu baada ya hapo akadai kuwa yeye alikuwa NAIBU WAZIRI MKUU kwa hiyo apewe mafao yake ya nafasi hiyo. Bila ya aibu aksema "MMENIFUNDISHA MAMBO MENGI, NAJUA MAMBO MENGI, KWA HIYO MKITAKA NIENDELEE KUTETEA MAMBO YA NCHI HII NIPENI HAKI YANGU". Ina maana kuwaponda CDM na kuunga mkono hoja kwa 100% ilikuwa ni kuwatetea ili wampe mafao ya UNAIBU WAZIRI MKUU FEKI! Huyu mzee njaa itamuua!
There is nothing entertaining kwa mwanaume mzima kulamba miguu ya mwanaume mwingine. Is sucks! Mrema aliomba kura kutetea wanavunjo au kusifia ccm bungeni? The man is completely out of order!
Alishafika kileleni sasa anashuka chini - memory pamoja na nguvu ya kutengeneza hoja hamna tena.
Mi naamini walimpa ubunge kule Vunjo makusudi ili akaue upinzani!Lakini kila analojaribu kuchonganisha CDM na wananchi anaona hakifanikiwi!Siasa ina wenyewe sio kujipendekeza kwa chama tawala ndo ujanja,ni upuuzi tu!Mshaurini aende kwa Dr. Slaa ili akafundishwe nini maana ya siasa!yani kwa kifupi ASIBAKE SIASA!Hivi ni mbunge wa kuteuliwa au kuchaguliwa? Mi naona analeta ucheshi tu bungeni anamdai Pinda wam'treat' kama naibu waziri mkuu mstaafu japo kwa 20% badala ya 80% ili aweze kutetea 'nji' hii hapa alisita kidogo nadhani alitaka aseme ili aweze kutetea CCM, Kaunga mkono hoja.
Mrema bwana! Tena siku hizi anapiga sana crab uso umeiva..Ukitaka kujua Mrema yuko upande gani wa chama angalia hapa anavyojumuika na wabunge wa CCM kumpongeza Mustafa Mkulo!View attachment 32664
mhe Mrema yuko live bungeni anaponda maandamano
huyo mrema ni chizi.
hebu atupishe hapa na mipunye yake mpaka usoni
ahaaa wewe mbona ujasema akigombea kwa tiket ya chadema.huyo walimpa akale pensheni tu lakini awezi dhubutu kuomba man 2 man na chadema huyo!I'm amazed na Demokrasia..........Kule Vunjo Mrema huyu ni Hero.....akigombea ubunge kwa tiketi ya CCM/NCCR/TLP.........ubunge ni wake.......dah its amazing........