Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 16,856
- 31,457
Mkuu hapo pesa haijawa wrong posted kwako. Ni kwamba umeokota pesa wala hujaiba.Naomba nitofautiane na wewe hapo mkuu. Bank washindwe kukakata pesa ambazo zimekua wrong posted kwenye account yako? Tena na wao wenye ndio wame miss post!!!? Hakuna bank ya namna hiyo
Lakini kwa watu wa maadili na utu ni vema kumrudishia alie
poteza kama unaweza kumpata.
Hapo sasa mwambie RM wako au bank manager kwamba utampa pesa mtu aliepoteza kama utaoneshwa ushahidi wa CCTV camera na ushahidi mwingine kama statement na uzuri sura na gari yake umeiona na nguo alizovaa uliziona.
Vinginevyo wagomee kutoa pesa na waambie usikatwe kwenye account. Akipatikana mwenyewe wakukutanishe umpe mkononi maana pesa haikuhamishwa kwake na kuingia kwako toka kwenye accound direct.