Mrejesho wa Pesa nilizozipata kwenye ATM

Mrejesho wa Pesa nilizozipata kwenye ATM

Hakuna kitu kama hicho,kwanza watu wa bank hawana muda wa kufuatilia video kama hizo hizo hela jamaa kaenda kumpa zawadi tu meneja atakaa muda hata mwezi mmoja atazitoa hizo hela na atazitumia yeye
Amini usiamini karma itamuadhibu huyo meneja siku yeyote ile hata baada ya miaka 30.
 
Ilishatokea kwangu mkuu nilizila zote mpaka leo milioni 1.4
Hahahaaa labda!

Mimi pesa nimeambiwa niziweke kwenye account yangu mwenyewe kwa hiyo kama kuzikata watazichukua wenyewe kutokea hapo

Nadhani wakishafanya uchunguzi na wakigundua kwa uhakika kua mwenyewe ni nani
 
Kila la heri mkuu ila hiyo ilikuwa bahati yako
Hahahaaa labda!

Mimi pesa nimeambiwa niziweke kwenye account yangu mwenyewe kwa hiyo kama kuzikata watazichukua wenyewe kutokea hapo

Nadhani wakishafanya uchunguzi na wakigundua kwa uhakika kua mwenyewe ni nani
 
We sio msamalia mwema bali ni mshamba tu, unarudishaje hela ya mlevi? mimi ningeenda kutoa kwa watu wenye mahitaji maalumu kama yatima, wenye ulemavu n.k, Huyo mlevi hata hajui kama siku hiyo alienda ATM. Ye anachojua pesa aliyokua nayo alihonga yote.
Ukichukua cha MTU nawe chako kitachukuliwa,Mimi hata Konda akinisahau kuomba nauli nikishuka nampa nauli yake,nimezidishiwa sana chenji na makonda nawarudishia,kwann nichukue kisicho halali yangu.Hata ingekuwa Milioni 10 kwenye ATM ningerudisha,maisha ni zaidi ya pesa, Pesa haina thamani kihivo kama watu waitukuzavyo.
 
Mcheki huyu alisahau labda ni zake
Screenshot_2018-10-09-11-22-10.jpeg
 
“Virtue is more to man than either water or fire. I have seen men die from treading on water and fire, but I have never seen a man die from treading the course of virtue.”

— Confucius
 
Back
Top Bottom