Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,685
- 19,442
- Thread starter
- #141
AstaghfurullahNdio watu kama wewe husababisha kuaminisha umma binadamu wa kwanza alikua nyani.......
AstaghfurullahNdio watu kama wewe husababisha kuaminisha umma binadamu wa kwanza alikua nyani.......
ningerudisha.Wewe ungerudisha?
Mkuu unamlaumu na kumuita mshamba kwa sababu amerudisha pesa ya mlevi, kwa hiyo wewe unajiona una haki kumuibia mlevi kwamba kwako wewe wizi siyo tatizo bali ulevi ndiyo tatizo. Badilika mkuu , wizi kwa tafsiri fupi ni kutwaa kitu/mali ya mtu mwingine bila ridhaa yake . Alichofanya ndiyo njia sahihi kabisa , iwapo unataka kuwasaidia wasiojiweza toa fedha yako ya halali kabisa ndiyo iwe msaada na siyo vinginevyoWe sio msamalia mwema bali ni mshamba tu, unarudishaje hela ya mlevi? mimi ningeenda kutoa kwa watu wenye mahitaji maalumu kama yatima, wenye ulemavu n.k, Huyo mlevi hata hajui kama siku hiyo alienda ATM. Ye anachojua pesa aliyokua nayo alihonga yote.
Asante sana mkuu wangu, umesema vyemaMkuu unamlaumu na kumuita mshamba kwa sababu amerudisha pesa ya mlevi, kwa hiyo wewe unajiona una haki kumuibia mlevi kwamba kwako wewe wizi siyo tatizo bali ulevi ndiyo tatizo. Badilika mkuu , wizi kwa tafsiri fupi ni kutwaa kitu/mali ya mtu mwingine bila ridhaa yake . Alichofanya ndiyo njia sahihi kabisa , iwapo unataka kuwasaidia wasiojiweza toa fedha yako ya halali kabisa ndiyo iwe msaada na siyo vinginevyo
YAANI UNATOA SADAKA KWA PESA HARAMU, BORA UNGESEMA UNAENDA KUINYEWEAWe sio msamalia mwema bali ni mshamba tu, unarudishaje hela ya mlevi? mimi ningeenda kutoa kwa watu wenye mahitaji maalumu kama yatima, wenye ulemavu n.k, Huyo mlevi hata hajui kama siku hiyo alienda ATM. Ye anachojua pesa aliyokua nayo alihonga yote.
WE JAMAA UMETOA TAFSIRI YA " SOMETIMES IGNORANCE IS BLESSING"Ushamba saa zingine unaokoa ndugu yangu, hata kama ningetumia hizo pesa ingejulikana wangekata kwenye akaunti yangu kiulaiiini kabisa mkuu