😅😅😅Kaka zako wengi waliooa hao watu wanalia na kujuta sana, rudi home oa kwenu utanikumbukaWatu weng wananishaur hvyo.. ila sasa dah... Mi napenda wazungu . Halaf pia i want a mixed race kwenye family yangu. Nna pressure from home wananambia nipambane nipeleke mzungu. Hahaha
Mpambanaji tangu lini akawa na holiday?Hahaha niko holiday dada .. au umesahau juz ilikua xmass.... Wew uko wap kwan. Hahah... Hatar
Natamani mwakani nije kimasomo kwa kweliYap wanachek... Mantiki yao ni kwamba.. uje huku ukiwa na uwezo wa ku afford maisha. Hawatak mtu ashindwe hela ya kula. Sio ishu sana kupata hzo statements. Unaweza tumia hata ya mtu..kama mdhamin..barua yake tuu yenye muhur wa foreign affairs pale .muhur elf 20 tu pale na hzo bank ststements..bas umemaliza
Nenda kaujaribu moto,, mtoto akililia wembe mupe🙌, nimejikuta nakuhurumia tu, kila la heriNamim nataka kujarib nione hahaha...
Fanya hvyo mkuu. Badili mazingira.. njoo angalia fursa nyingne huku... Bongo kukatishana tamaa ni kwing.. unaweza pata depression kijana mdogo. Mara tozo. Mara mabehewa feki.. mara.. watu wazur hawafi.. hahahNatamani mwakani nije kimasomo kwa kweli
Sawa kila la heri😍Ntapambana sana.. culture yao najua ni tofaut... But. It is what it is... Lazima niweke chata za kizungu... Point 5 za kutosha
Passport muhimu kiongoz... Fanya uwe nayo.. huwez jua ya mbele.Ha ha ha sawa nimechangia tu ndugu yangu maana hata passport yenyewe sina
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaruka ruka sana..... je unafanya sanaa gani?Ofcourse ntakuja bongo but only for my family. Baba. Mama.. na ndugu zangu. Kuwekeza pia ila kuish. No No.. i am done with bongo bro.
I do lots of things bro.. huku chochote artistic kinavuta hisia za watu . If you can draw/paint... Play jazz music..old african music zile Og kabisa.. if you can write ... Ukitengeneza vtu vya asil... Chochote ilimrad kiwe orijinal sio cha kuiga . Unatoboa vibaya mnoo
Halafu ndugu huwa wanajua ndugu yao kila siku pesa anazo, tena mkewe akiwa mnene hivi uwiii anafaidi pesa ya ndugu yetuNuksi sana nina mifano hai mingi kuna mzee mmoja alitapeliwa na nduguze dola 50k, baada ya muda akaja kusalimia wakamuwekea sumu, mpaka saiv yuko kitandani hoooooi,, mwingine walimroga kaja na mke wa kizungu na wanae 3, kufika airport huko ulaya kachanganyikiwa kamchapa makofi mkewe,(wazungu hawaelewi mambo ya ushirikina kamshtaki kwenye mamlaka,, kawekwa kituo cha watu wenye autism) tangu akiwa na early 50's saiv ni mzee wa miaka sabini, watoto mama yao aliongea mbovu kuwa waafrika wanyama nk kumbe hajui ni ushirikina nk
Nadhani utaona hapo wabongo tulivyo
Ila ukipata kanafasi mie nikumbuke sina roho hiyo![]()
Wabongo kwa kuharibiana hatujamboHahahah... Ni kwel kabisa. Wabongo wana roho chafu sana. Imejidhihirisha kwenye huu uzi.. daah. Sirudii tena. Yaan ndo nawaelewa kwann diaspora weng hawanaga time na wabongo. Yaan hata kuwapa watu mbinu za kuja huku huwa hawatoi sabab wanajua wabongo nuksi.
Ndo maana wakienda huko hawatoi abc za kufika huko, wabongo nuksi hatufaiHalafu ndugu huwa wanajua ndugu yao kila siku pesa anazo, tena mkewe akiwa mnene hivi uwiii anafaidi pesa ya ndugu yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Namie nilimwambia usiku, kwa tabia za wanaume wa kiafrika wanazijua wanawake wa kiafrika, mwanamke wakiafrica kukopi kwa mmewe mthungu haina shida, sasa kina mwita mmm sijui kwakweliPambana sana, ila usijichanganye ukaoa mzungu utakoma,, dada zako sie unatuona mwajuma ndala ndefu ila nikwambie ni sie tunawajua kuwahandle nyie wanaume wa kiafrika na tabia zenu,, una vingi vya kujifunza
Umeona eee inategemea walienda kufanya nini na kwanjia zipi na malengo yapiYote kwa yote ulaya ukienda kwa malengo unatoboa. Achana na hao wadogo zako walioangalia video za kina 50 cent wakaenda huko na mentality hiyo wakijua mambele ni bata tu.
Uzunguni ukijifanya lofa una-make.
Nina ndoto pia