Mrejesho uzi wa kujilipua

Mrejesho uzi wa kujilipua

Pamoja mkuu
Yani mbongo umpe ABC za jambo la mafanikio Mungu wangu anakuharibia kabisa jaribu tu mbeba mwana anayeijua familia yako na anamjia boss wako mpe bata la maana Kila siku na ajue michepuko yako yani pamoja na kumpa bata na kumlinda za vocha mwana hawezi vulimia atamwambia tu mkeo shemeji nakupenda ila nakupa siri ila usiseme mjomba chambuli ana kusaliti😂😂😂 hapo ni kwenye mambo ya ajabu tu atunzi Siri je mambo ya maana
 
Yani mbongo umpe ABC za jambo la mafanikio Mungu wangu anakuharibia kabisa jaribu tu mbeba mwana anayeijua familia yako na anamjia boss wako mpe bata la maana Kila siku na ajue michepuko yako yani pamoja na kumpa bata na kumlinda za vocha mwana hawezi vulimia atamwambia tu mkeo shemeji nakupenda ila nakupa siri ila usiseme mjomba chambuli ana kusaliti hapo ni kwenye mambo ya ajabu tu atunzi Siri je mambo ya maana
Hahhaahhahahaha
 
Sielewi huyu jamaa huko kwenye sanaa wapopo wamejaa huko Europe na vingoma vyao,kukata viuno,kuchora,uchawi kila kitu wanajua wao.
Kuna wabongo kadhaa na wacongo hata wakenya nawajua wako vizuri kisanii huko ila imeshindikana.
ni mwendo wa kuchakaza soli tu.
Sasa hii sanaa ya jamaa sijui ipi tusiyoijua.

muache naona na shambuliwa
 
Well... Negativity iliyopo humu . Sina hata hyo mood ya kujib watu aisee... I ll be just wasting time... Wabongo ni watu wa ajabu sanaa . Najutaa.
Mkuu PM yako imefungwa hutaki kutupa ABC za huko sisi watangaza nia?

Mimi nahitaji ufahamu wa mambo tu usiwaze habari za kupokeana, kuhifadhiana nk
 
Wewe mleta uzi una stress kali sana za maisha. Kuna maswali umeulizwa ukajibu kisiasa sana. Huu uzi wako ninausoma kama burudani tu maana wewe bado tuko wote hapa.. umeandika tu kujipunguzia stress.
 
Siyo negativity. Hiyo Western Europe wabongo wengi tu wana uzoefu napo. Wewe maliza shule halafu ingia mitaani, ulipe kodi stahiki etc. Utaijua vizuri Europe.

Amalize kwanza shule ndio aone rangi halisi sio anasema eti sanaa inalipa sana tena sanaaaaaa, anavyoona wale wazungu wakizunguka Mwenge kwenye vinyago na Bagamoyo basi anajua wote wako hivyo hivyo
 
Wewe mleta uzi una stress kali sana za maisha. Kuna maswali umeulizwa ukajibu kisiasa sana. Huu uzi wako ninausoma kama burudani tu maana wewe bado tuko wote hapa.. umeandika tu kujipunguzia stress.
Atakutumia video akuchambe, niulize mimi
 
after submitting preliminary, how long it's take to receive the link to continue with full application of working visa?
 
Hakuna masikini huku. Huko bongo. Matajiri 1%.. middle income ni 5 halafu inayobaki 94% ni tia maji tia maji. Maendeleo mtayaskia kwenye bomba... Na hivi wanapeana vyeo kifamilia na uchawa hahah. Miaka 800
Ukweli mchungu huu.
 
Back
Top Bottom