Mrejesho uzi wa kujilipua

Mrejesho uzi wa kujilipua

Namie nilimwambia usiku, kwa tabia za wanaume wa kiafrika wanazijua wanawake wa kiafrika, mwanamke wakiafrica kukopi kwa mmewe mthungu haina shida, sasa kina mwita mmm sijui kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Sie ndo tuna mioyo na nyama ngumu kuvumilia hawa wanaume zetu ila jamii nyingine haziwezi mwishowe wanapeleka ile ego yao na mambo kuwa magumu kinoma, hata maisha kuharibika vibaya
Siku hizi wamesanuka wengi wanarudi kuoa kwao,
 
Fanya hvyo mkuu. Badili mazingira.. njoo angalia fursa nyingne huku... Bongo kukatishana tamaa ni kwing.. unaweza pata depression kijana mdogo. Mara tozo. Mara mabehewa feki.. mara.. watu wazur hawafi.. hahah
Naweza kuja Pm mkuu? Kuna maelekezo unipe, mimi nitaingia kwa ajili ya kusoma na nikimaliza nageuka lakini sitakaa kizembe huko lazima nitafute pesa
 
Watu weng wananishaur hvyo.. ila sasa dah... Mi napenda wazungu . Halaf pia i want a mixed race kwenye family yangu. Nna pressure from home wananambia nipambane nipeleke mzungu. Hahaha
Wakati wakunyonyolewa utakuwa mwenyewe lakini hata wazungu wanatofautiana bwana, kila raheri acha sie tupambane na hawa wazee wa tozo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani nimefatilia majibu yako katika uzi huu huna tofauti na sisi tuliobaki hapa Tz na unaonekana una chembechembe za usukuma au uhaya.Nilidhani umeleta Uzi ili ufundishe na kuwabadilisha watu but ni kama ulioleta kutusimanga.

Sasa rational being unaulizwa upo Nchi gani unafanya siri-what for-huku unatumia ID fake???,unaulizwa tueleze kiasi cha pesa ambacho MTU anapaswa kuwa nacho bank angalau awe considered kupewa visa hutaji.Mambo mengi unaulizwa unajibu bla bla tu.
Google mkuu.. simpo..
 
Yani nimefatilia majibu yako katika uzi huu huna tofauti na sisi tuliobaki hapa Tz na unaonekana una chembechembe za usukuma au uhaya.Nilidhani umeleta Uzi ili ufundishe na kuwabadilisha watu but ni kama ulioleta kutusimanga.

Sasa rational being unaulizwa upo Nchi gani unafanya siri-what for-huku unatumia ID fake???,unaulizwa tueleze kiasi cha pesa ambacho MTU anapaswa kuwa nacho bank angalau awe considered kupewa visa hutaji.Mambo mengi unaulizwa unajibu bla bla tu.
Sitoi white kwa hypocrites.. nmefungua uzi na i expected +ve pipo.. ila imekua tofaut.. so nmegundua the people i m dealing with.. so ukija kiungwana utajibiwa vzur.. ukija kinafki utajibiwa kinafki... Period

Siendekez ujinga kwa watu wenye roho chafu
 
Folen kaka... US na canada folen ni kubwa mnoooo... Processing inakua kazi sana ndomana unakuta znachelewa... Pia kupata apointment ni ishu sabab ya uwing wa watu wanaofanya application kila kukicha... Pia kumbuka kuna baadh ya nchi pia znatumia baloz zetu zilizoko hapa bongo so folen ndo inazid kuwa kubwa. Watu wa kongo.. nadhan burund pia etc.. wanatumia baloz zilizopo bongo kwenda huko majuu so ishu ni folen. Na pia hao jamaa US na canada huwa wanafatilia sana ndomana unakuta znachukua muda.
Hongera sana. Nchi ya Ulaya halafu inatumia balozi zetu zilizopo nchini kupata visa? Unamaanisha nini?
 
Back
Top Bottom