Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,518
Nchi za kiafrika ngumu sana kutoboa halafu viongozi kama wakina Nape. Wanatumia laini za TTCL bure kupiga, kutuma meseji mpaka internet. Hawakumbuki hata bando la internet wamenunua lini. Hata ukimwambia anaishia kukutukana.
Hongera yake. Huwa natafakari sana kuhusu mtoto wa George Wear Rais wa Liberia inakuwaje mtoto wake ni raia wa USA?
Kama una njia ya kuingia ng'ambo bora usepe tu.
Hongera yake. Huwa natafakari sana kuhusu mtoto wa George Wear Rais wa Liberia inakuwaje mtoto wake ni raia wa USA?
Kama una njia ya kuingia ng'ambo bora usepe tu.
