Mrejesho: Nimeamini huyu sio wa mizinga 100%

Mrejesho: Nimeamini huyu sio wa mizinga 100%

Mmh! Kwanini hamuamini kwamba mapenz bila mizinga yapo?
I don't depend kwa mwanaume na marafiki zangu wa karibu sana ndo wananijua........i do believe mapenzi bila mizinga yapo ila kwa style za huyo msichana ni lazima atakuja kukupiga vizinga tena vikubwa tu
 
Hata sisi wakat ule tunatega tetere tulikuwa tunamwaga mchele mpk kwny mtego...
 
Asante sana mkuu,... Nimeichukua hiyo!.. Maana jamaa wanajijaza hofu kila kukicha mazee!

Ndivyo baadhi ya wafrika tulivyo

mapungufu yapo ya kibinadamu lakini sivyo ambavyo baadhi hapa wanavyoisema wanakuombea litokee kubwa ili usiwe naye ...

mapungufu yapo lakini angalia heshima yake kwako itakuepo mana mtaombana msamaha na yanaisha mnaendelea mbele

hadi sasa inaonesha she is a good woman for you, nenda nae taratibu ukimuomba na Mungu pia ...mana ukipata mwanamke anaejitambua na anaekupenda kwa dhati na ambae ni family woman basi hauna haja ya kuhangaika mkuu na manunga embe.


What goes around always comes around
 
I don't depend kwa mwanaume na marafiki zangu wa karibu sana ndo wananijua........i do believe mapenzi bila mizinga yapo ila kwa style za huyo msichana ni lazima atakuja kukupiga vizinga tena vikubwa tu
OK, ngoja nijipange
 
Ndivyo baadhi ya wafrika tulivyo
mapungufu yapo ya kibinadamu lakini sivyo ambavyo baadhi hapa wanavyoisema wanakuombea litokee kubwa ili usiwe naye ...
mapungufu yapo lakini angalia heshima yake kwako itakuepo mana mtaombana msamaha na yanaisha mnaendelea mbele
hadi sasa inaonesha she is a good woman for you, nenda nae taratibu ukimuomba na Mungu pia ...mana ukipata mwanamke anaejitambua na anaekupenda kwa dhati na ambae ni family woman basi hauna haja ya kuhangaika mkuu na manunga embe.


What goes around always comes around
Thanks
 
Ndivyo baadhi ya wafrika tulivyo
mapungufu yapo ya kibinadamu lakini sivyo ambavyo baadhi hapa wanavyoisema wanakuombea litokee kubwa ili usiwe naye ...
mapungufu yapo lakini angalia heshima yake kwako itakuepo mana mtaombana msamaha na yanaisha mnaendelea mbele
hadi sasa inaonesha she is a good woman for you, nenda nae taratibu ukimuomba na Mungu pia ...mana ukipata mwanamke anaejitambua na anaekupenda kwa dhati na ambae ni family woman basi hauna haja ya kuhangaika mkuu na manunga embe.


What goes around always comes around
Tambua ni mchepuko huo sio mkewe, saa mchepuko ukuhurumie ili ugundue nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom