born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,333
- 1,500
Na wewe ni mbabaishaji tu....ushasema kuwa uchangii hata mia,sasa hizo contact za principal we za nini? Acha wenye nia ya dhati waulizie sio wewe.Toa Sio Hadi uombwe watu wanatakiwa waongee naye.Mlio singida nendeni direct kwenye chuo ku confirm na ara ilipwe account ya chuo na slip iwekwe hapa ili chuo kisije pokea pesa mara mbili mbili na kujikausha.Mhusika asipewe hata Mia zilipwe direct chuoni
Yule jamaa wa interview hata mimi nilimtilia shakaNimekuambia nimekufatilia long time ago,kuna mhitaji aliwahi kuja hapa uliongea shit sana.ila akajitolea member mmoja 150000 aende interview moshi.USIOMBE YAKUKUTE.kwani ukipita kimya kimya utawashwa?
Kwanini mkuuYou know right now nimefikia hatua kuona Mungu hanijali.. ila haina noma mkuu yatapita
Nipe muda kidg km wiki moja hivi .Itazingatiwa mkuu,naomba mnisaidie.
Nakuja.Brother Relief Mirzska, BAK, Extrovert, Boeing 747, Zurri , Vladimirovich Putin mpite huku tafadhali,toeni neno.
Toa neno brother.Nakuja.
Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
yaani huku watu wamekua kama wanyama, R.I.P Robin
sijui kwa nini kama mtu huna cha kuchangia kunyamaza kunakushinda nini
Pole sana asee ata mm napenda thread zako ni tatizo gani kwani mkuu??Kuna kitu kiliniyokea Jmos iliyopita nikawa sina amani kabisa.. sema tu ndio nimebidi nikubali matokeo