Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,573
I'm very spiritual man.
Kwanza hapo mwanzo bidada yule aliyeutesa moyo wangu nilipo mtamkia kuwa nampenda alinikataa.
Lakini kwa kiburi changu na Roho ya kutokukubali kushindwa niliamua Kufanya kuishawishi nafsi ya dada huyo hata akiwa mbali, niliisemesha roho yake na kumwambia maneno mazuri na kujinadi kuwa ni mimi pekee nimpendae kwa dhati
Nguvu yangu ya kiroho kweli ilifanikiwa kumshawishi dada huyo na hadi kufanikiwa kulala nae.
Lakini naona anazidi kuwa mwiba kwangu kwa vitu vingi.
Yamenikuta aisee makubwa sana..
Mungu alitupa mamlaka ya ombeni chochote na mimi nilitumia mamlaka hiyo na sasa najuta.
Sasa nimejifunza vizuri Kisemo cha Biblia .. ...
"Ukililia Nyama, unapewa nyama kisha unakondeshwa Roho"
Hayo ndio yamenikuta wapendwa.
Sasa nimeamua kubadili maombi yangu na hakika imenisaidia sana.
Sasa naomba binti huyu atoke kabisa kwenye maisha Yangu, sitaki tena upenzi nae.
Leo usiku nitamalizia maombi yangu na kuwa Free kabisa.
Ni hayo tu wakuu.
By mr. Ip_kiss Surya
Pia soma: Mimi Mwanaume na hekima zangu zote, mwenzenu nalizwa na mapenzi
Kwanza hapo mwanzo bidada yule aliyeutesa moyo wangu nilipo mtamkia kuwa nampenda alinikataa.
Lakini kwa kiburi changu na Roho ya kutokukubali kushindwa niliamua Kufanya kuishawishi nafsi ya dada huyo hata akiwa mbali, niliisemesha roho yake na kumwambia maneno mazuri na kujinadi kuwa ni mimi pekee nimpendae kwa dhati
Nguvu yangu ya kiroho kweli ilifanikiwa kumshawishi dada huyo na hadi kufanikiwa kulala nae.
Lakini naona anazidi kuwa mwiba kwangu kwa vitu vingi.
Yamenikuta aisee makubwa sana..
Mungu alitupa mamlaka ya ombeni chochote na mimi nilitumia mamlaka hiyo na sasa najuta.
Sasa nimejifunza vizuri Kisemo cha Biblia .. ...
"Ukililia Nyama, unapewa nyama kisha unakondeshwa Roho"
Hayo ndio yamenikuta wapendwa.
Sasa nimeamua kubadili maombi yangu na hakika imenisaidia sana.
Sasa naomba binti huyu atoke kabisa kwenye maisha Yangu, sitaki tena upenzi nae.
Leo usiku nitamalizia maombi yangu na kuwa Free kabisa.
Ni hayo tu wakuu.
By mr. Ip_kiss Surya
Pia soma: Mimi Mwanaume na hekima zangu zote, mwenzenu nalizwa na mapenzi