Jiko Koa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 228
- 763
Nashukuru Sana dada na kaka uliyenishauri Jana ingawa 90% ya advance zilikuwa za kunipopoa.
Jana niliomba ushauri baada ya mpezi wangu kuniambia anahisi ana mimba.
Jioni hii nimefanikiwa kumpima MWENUEWE, nimehakikisha amekojolea kwenye kisado akiwa mbele yangu, nikampima na majibu yakaja negative.
Amesema haamini kipimo Cha jioni hivyo turudiane asubuhi.
Kesho asubuhi utaratibu utaratibu ni ule ule wa kuhakikisha amekojoa mbele yangu. Hakuna kumpa gepu.
Pia soma:
- Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali, mpenzi wangu ana mimba
Jana niliomba ushauri baada ya mpezi wangu kuniambia anahisi ana mimba.
Jioni hii nimefanikiwa kumpima MWENUEWE, nimehakikisha amekojolea kwenye kisado akiwa mbele yangu, nikampima na majibu yakaja negative.
Amesema haamini kipimo Cha jioni hivyo turudiane asubuhi.
Kesho asubuhi utaratibu utaratibu ni ule ule wa kuhakikisha amekojoa mbele yangu. Hakuna kumpa gepu.
Pia soma:
- Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali, mpenzi wangu ana mimba