Mrejesho kuhusu mke wa mpangaji mwenzangu

Mrejesho kuhusu mke wa mpangaji mwenzangu

Inaonekana ushamla tiyar,sio kwa kukusumbua hivyo
Haha..unaweza kuta hajamla, ila tamaa tu inamwendesha, labda kakorofishana na mumewe anatafuta faraja kwa jamaa. Jamaa angeingia mkenge huenda angejikuta anabobea kula wake za watu, mwisho wake ukawa mbaya
 
Safi umeonyesha heshima na kuheshimu ndoa ya watu
Vijana wa siku hizi utawaweza .....mwanaume analetewa mbunye anaikataa na anakuja kuanzisha uzi...hatakiwi kuona kitu cha ajabu au kinahitaji attention hivi kwa kukataa kama alikua ana nia nzuri ....boys game not men
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom