Masaki road
Member
- Jul 16, 2020
- 35
- 62
Ni mwezi sasa umepita wakurungwa toka nimepost nasaka wife material ili niachane na usemi wa wahuni, wazembe, watoto wa kulelewa na mishangazi unaosema"KATAA NDOA " NDOA NI UTUMWA"NAONA dalili za kuukimbia ziko ukingoni.
Tarehe 2/09/2023 alinicheki mtot wa kisukuma tukapata kuzungumza yupo bariadi kijini yupo tayari kuolewa kaniambia niende huko wapate kunijua na kuelewana mahali na wazee wake, Leo cheupe mtoto wa kizigua kanicheki naye kachoka na useja kalielewa bandiko langu kanipm. Kwa kuwaangalia wote kwa sura ni wazuri na nimeridhika nao wote .
Naombeni ushauri wa kujua abc za hawa watoto kimaadili na mila za kila mmoja nipate kumpa mwingine go ahead nisimchoshe bure ili nichukue mmoja, mimi ni mnyakyusa kutoka Mbeya.
Natanguliza shukrani zangu kwa michango ya mawazo yenu..
Tarehe 2/09/2023 alinicheki mtot wa kisukuma tukapata kuzungumza yupo bariadi kijini yupo tayari kuolewa kaniambia niende huko wapate kunijua na kuelewana mahali na wazee wake, Leo cheupe mtoto wa kizigua kanicheki naye kachoka na useja kalielewa bandiko langu kanipm. Kwa kuwaangalia wote kwa sura ni wazuri na nimeridhika nao wote .
Naombeni ushauri wa kujua abc za hawa watoto kimaadili na mila za kila mmoja nipate kumpa mwingine go ahead nisimchoshe bure ili nichukue mmoja, mimi ni mnyakyusa kutoka Mbeya.
Natanguliza shukrani zangu kwa michango ya mawazo yenu..