Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,372
- 174,965
Lodge anafanya nini sasa, huoni ushahidi wa kimazingira unamfunga. Unajuaje kama ndio alikuwa katoka kumwagiwa michuzi na baharia kijicho masofa.???Jinga wewe..... Kesi hiyo mpaka atoe talaka ni lazima ashuhudie mashine inaingia na kutoka kwa step.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake Lodge peke yake katoa talaka huoni kwamba jamaa kayumba??? Hivi tukihoji kwa nini katoa talaka atajibu nini,? Kwamba kamfumania? Na nani akiwa anafanya nini!?
We una kwako, unakutwa Lodge unafanya nini?