Mrejesho: Hongera Baba Nasma kwa kuchomoa betri. Waache sasa wateseke na moto

Jinga wewe..... Kesi hiyo mpaka atoe talaka ni lazima ashuhudie mashine inaingia na kutoka kwa step.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake Lodge peke yake katoa talaka huoni kwamba jamaa kayumba??? Hivi tukihoji kwa nini katoa talaka atajibu nini,? Kwamba kamfumania? Na nani akiwa anafanya nini!?
Lodge anafanya nini sasa, huoni ushahidi wa kimazingira unamfunga. Unajuaje kama ndio alikuwa katoka kumwagiwa michuzi na baharia kijicho masofa.???
We una kwako, unakutwa Lodge unafanya nini?
 
Jinga wewe..... Kesi hiyo mpaka atoe talaka ni lazima ashuhudie mashine inaingia na kutoka kwa step.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake Lodge peke yake katoa talaka huoni kwamba jamaa kayumba??? Hivi tukihoji kwa nini katoa talaka atajibu nini,? Kwamba kamfumania? Na nani akiwa anafanya nini!?

Atakuwa alitoa talaka kwa kutumia reference ya kifungu cha sharia 127:1 ibara ya 6 inayosema

Ukiona manyoya ujue kuku kashaliwa

 
Lodge anafanya nini sasa, huoni ushahidi wa kimazingira unamfunga. Unajuaje kama ndio alikuwa katoka kumwagiwa michuzi na baharia kijicho masofa.???
We una kwako, unakutwa Lodge unafanya nini?
Ushahidi wa kimazingira nini??? Lodge alikuwa na mishe zake binafsi, labda bibie anafanya kazi ya ukachero hataki mume ajue?? Anachukuwa room Kutoa data zake na kukamilisha mambo mengine ya kazi kisha anarudi home..... Mimi sikubaliani na namna talaka ilivyotolewa.... Na sisi waislamu kesi hiyo ni lazima uwe umewaona wale watu wakijamiiana tena uwe na mashahidi wanne ndipo huyo mwanamke aachwe na kupigwa mawe mpaka afe.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake kitandani oooh talaka... Ni ujinga huo
 
Ushahidi wa kimazingira nini??? Lodge alikuwa na mishe zake binafsi, labda bibie anafanya kazi ya ukachero hataki mume ajue?? Anachukuwa room Kutoa data zake na kukamilisha mambo mengine ya kazi kisha anarudi home..... Mimi sikubaliani na namna talaka ilivyotolewa.... Na sisi waislamu kesi hiyo ni lazima uwe umewaona wale watu wakijamiiana tena uwe na mashahidi wanne ndipo huyo mwanamke aachwe na kupigwa mawe mpaka afe.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake kitandani oooh talaka... Ni ujinga huo
Ahahahaha kwahio jamaa aendelee kugongewa hadi amuone kwa macho anayemgongea. We mama wa Nyumbani na ukachero wapi na wapi.

Mke hana kazi, sasa anaendaje guest kufanya nini?
 
Hio ilikuwa kizamani isitoshe hao ni wakristo. So mazingira ya fumanizi yanatosha tu kumpiga chini.
Hata ingekuwa mimi nakukuta guest maelezo hayaeleweki we ni msaliti tu.
Nasma gani mkristo? Halafu sheria za dini hazina uzamani.... Sisi hatuna kuupdate vitabu wala sheria.... Zimewekwa basi Zitakuwa hivyo..... Jamaa kayumbaaa Nimeona watu wamenuna humu
 
Na sisi waislamu kesi hiyo ni lazima uwe umewaona wale watu wakijamiiana tena uwe na mashahidi wanne ndipo huyo mwanamke aachwe na kupigwa mawe mpaka afe.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake kitandani oooh talaka... Ni ujinga huo

Bibie naona unachanganya hukumu ya mzinifu aliye kwenye ndoa na talaka,talaka mazingira yake hata ukifanya utani tu ukamwambia mkeo "Wewe nimekuacha hiyo inahesabika ni talaka" ndio maana hutakiwi mtu kuleta mzaha katika suala la kuacha.

Kwa minajili hiyo suala la kutoa talaka halihitaji mpaka watimie mashahidi wanne wanaume wenye akili timamu.

Sababu unazozitoa sio sababu kwa sababu unajenga dhana na hakuna ushahidi wa dhana,kwani wahusika wanamjua mama Nasma kuliko wewe.

Je nikikuuliza kama mwenyewe mama Nasma alikiri ya kuwa yeye ni mzinifu ? Utakataa ?

Pili,muislamu hutakiwi kuwafanya wenzako wakudhanie vibaya,kawaida guest hufahamika kama ni nyumba ya wageni na hasa watu wanaenda kuzini na ni mara chache sana kutumika kwa kazi nyingine. Je mama Nasma ni mgeni ?
 
Ok
Bibie naona unachanganya hukumu ya mzinifu aliye kwenye ndoa na talaka,talaka mazingira yake hata ukifanya utani tu ukamwambia mkeo "Wewe nimekuacha hiyo inahesabika ni talaka" ndio maana hutakiwi mtu kuleta mzaha katika suala la kuacha.

Kwa minajili hiyo suala la kutoa talaka halihitaji mpaka watimie mashahidi wanne wanaume wenye akili timamu.

Sababu unazozitoa sio sababu kwa sababu unajenga dhana na hakuna ushahidi wa dhana,kwani wahusika wanamjua mama Nasma kuliko wewe.

Je nikikuuliza kama mwenyewe mama Nasma alikiri ya kuwa yeye ni mzinifu ? Utakataa ?

Pili,muislamu hutakiwi kuwafanya wenzako wakudhanie vibaya,kawaida guest hufahamika kama ni nyumba ya wageni na hasa watu wanaenda kuzini na ni mara chache sana kutumika kwa kazi nyingine. Je mama Nasma ni mgeni ?
 
Tuko pamoja,ukipata muda rejea tena katika vitabu vya Hadithi na Fiqhi ya Uislam katika mlango wa Talaka utafaidika pakubwa hasa rejea kitabu cha shaykha al Fawzan kinaitwa "al Mulakhaswi al Fiqihiya" na kitabu cha imaam Nawawi na Imam Ibn Qudammah Allah awarehemu.
 
Kwanza kabla ya kusema lolote ningependa kujipa hongera Mimi mwenyewe kwa kumuokoa mwanaume mwenzangu (baba Nasma) kutoka katika ndoa yake ambayo kwa asilimia kubwa alikuwa anasalitiwa na mke wake na yule fundi sofa, Deus au 'kijicho'.

Pili ningependa sana kuishukuru jamii forum kwa kutuunganisha pamoja kiasi kwamba nimeweza kutumia jukwaa hili kumpasha habari Baba Nasma ambaye ni memba wa jamii forum ambaye ID yake inaanza na 'M' juu ya usaliti wa mke wake na ujumbe umemfikia.

KILICHOTOKEA BAADA YA MIMI KUPOST HABARI HILE:
Baba Nasma alichelewa kidogo kuisoma habari ile humu jukwaani na mtu wa kwanza kuisoma habari yangu alikuwa bwana Salum Mwankenja ambaye ni baba mdogo wa Baba Nasma ambaye humu jukwaani anatumia ID inayoanza na herufi 'T'.

Bwana Salum alinifuata PM na kujitambulisha kwangu na akawa anataka nimuelekeze Rashka Lodge ilipo na akataka nimuhakikishie kama post yangu inaukweli. Na akawa ananishawishi nijitambulishe kwake kuwa mimi ni nani na ninaishi wapi. Mimi nilimjibu bwana Salumu kuwa amtafute Shadya (kuwadi wa mama Nasma) anajua Rashka lodge ilipo na pia anamjua kijicho.

Ila nilichomsaidia bwana Salum kule PM ni kumpa majina ambayo mama Nasma na bwana kijicho waliyoyaandike kwenye daftari la wageni pale Rashka Lodge, ambapo:-
Deus 'kijicho' aliandika kama RICHARD TOBERT na alikuwa jina namba 9 kwenye daftari.
Wakati mama Nasma aliandika kama HAPPYNESS JOHN na lilikuwa jina namba 14 kwenye daftari la pale Lodge. Wote waliandika majina ya uongo.

Ilipofika mida ya saa kumi na moja asubuhi, muhudumu wa Rashka Lodge, Dada Tamali maalufu kama 'mnyamwezi' alinipigia simu na kunitaarifu kuwa Baba Nasma alienda pale akiongozana na watu sita ambapo wanawake wakiwa watatu kwa lengo la kufumania.

Ila cha ajabu walipofika pale Rashka Lodge chumba kinachoitwa 'Tabora' walimkuta mama Nasma peke yake bila ya kuwepo bwana kijicho. Hata sijui jamaa alistukiaje au sijui nani alimtonya na Hata sijui ilikuwaje jamaa akasepa. Yule anamungu sana.

Mama Nasma alipoteza muelekeo bakisa na kuonesha kwamba hakutegea kumuona mume wake na watu wale pale Lodge. baada ya marumbano ya muda mrefu, kuna mzee mmoja anayeitwa Babu Shabani alishauri waondoke pale wakaongelee nyumbani.

Mpaka naandika Uzi huu mama Nasma kapigwa chini na sasa anaishi kijitonyama kwa Dada yake anayeitwa mama Nuru mkaanga samaki. Na bwana kijicho hajaonakana pale kazini kwake mpaka muda huu na hajulikani halipo.


Wewe ni fala sana, una roho ya kimaskini
 
Ndoa mura ina UPs and DOWNs zake
Huyo uliyemsaidia
Kwa sasa ataonesha msimamo
Ila muda ukienda
atashikwa na matamaa
then atatafuta mwanamke
mwisho wa siku huyo Jamaa nae atajihoji:
KWANI HATA YEYE NI MANGAPI AMEFANYA NJE YA NDOA?
JE YEYE NI MSAFI?

basi hapo ndipo atarudi kwa huyo mwanamke unaehisi wameachana!
alafu ukute wana watoto
hapo ndiyo sasa rahisi kurudiana
kwa sasa anaona aibu
Mwisho wa siku ukirudi kwa huyo mwanamke
unajua atakachomwambia?
ATASEMA KUNA WATU HAWAPENDI KUWAONA WAKIWA NA FURAHA KTK NDOA YAO
WANACHONGANISHA NA
WAMEKOSA MAMBO YA KUFANYA
COZ HATA LILE TUKIO HAKUWA ANALIJUA

alafu mwanamke atamuuliza
baba Kwani kuna mtu ulinikuta nae ndani?
Mume atasema HAPANA
mke amwambie Kiukweli
alitaka tu kumpima imani yake
Je anamwamini kiasi gani
ndiyo maana akafanya vile
alafu amalizie kwa kumuuliza
kwani baba wewe nani huyo amekwambia?
HAPO SASA NDIYO JAMAA ATATAJA JINA LAKO MLETA UZI
then ndiyo utajua kuwa ndoa ni zaidi ya ufikiriavyo
nawe siku nyingine hutarudia tena kumsaidia mtu kuhusu ndoa yake
utahisi wanandoa wote ni mabwege tu!
Mungu akasema tuishi nao kwa akili!

(huyo Jamaa wewe unaongea nae umevaa nguo na sauti ya kiume
But
huyo mwanamke anaongea na Jamaa akiwa hana nguo plus sauti amelegeza)

Unahisi nani atasikilizwa hapo?
 
Naskitishwa sana kuona watu ninaowaamini na kuwaheshimu humu jukwaani waki-like comment za KIJINGA zinazomshambulia mtoa mada.

Yaani watu walitaka mtoa mada anyamaze kimya tu juu ya usaliti na unyama anaofanyiwa mtu mwengine?? Mna tofauti gani na wale waliokwenda kwenye ajali ya lori wakaanza kuchota mafuta na kuacha kumuokoa dereva na abiria?? Shame on you!

Mtume (s.a.w) ametuelekeza kwamba "utakapouona uovu wowote basi uondoshe kwa mkono wako, kama ukishindwa basi uondoshe kwa mdomo wako (uukemee) na ukishindwa basi uchukie ndani ya nafsi yako, na huko kuchukia ni udhaifu wa imani"

Mtoa mada ameuona uovu na kuamua kuuondoa, ajabu iliyoje GREAT THINKERS wanamshambulia. Halafu cha kuskitisha, wale ninaowaona ma-genius humu wamekaa wana-support hali hii??

I need to learn more and more really.
Dunia ilipofikia kuna muda najikuta namkosea hata Mungu kwa kuona haina haja ya dunia kuendelea tena ikiwa ishafikia hatua za Watu kushangilia dhambi kiasi hiki.

MUNGU NISAMEHE SANA KWA HILI.

Huwa najiuliza ndiyo Watu ninaoishi nao mitaani, vyuoni, makazini, makanisani au sehemu mbali mbali hapa duniani ikiwa hawana hata hofu ya Mungu na wanamshambulia mleta mada kama vile kaua Mtu daaah...!
 
Back
Top Bottom