interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,396
Kuvunjika kwa ndoa kwa sababu ya uzinzi hata Mungu karuhsu katika vitabu vya dini.
Kwahiyo unasapoti ndoa yao kuvunjika
Kwahiyo unasapoti ndoa yao kuvunjika
Nimegundua kwanini Mungu alisema "njia iendayo mbinguni ni nyembamba na wachache waiendeayo" maana si kwa ujinga unaotetewa na kushangiliwa humu.mkuu umefanya la maana Iyo inaitwa operation komesha mchepuko. wanaotoa bovu ni wachepukaji wanawatetea wachepuko wenza. hongera Kwa kazi nzuri. nakuunga mkono asilimia mia.
Aiseee!!Nachepuka, on my own risk.
Mtu akienda kumwambia mke wangu kwamba nimechepuka, sitokaa nkamlaumu huyo mtu kamwe, na wala sitolalamika kama mke wangu ataamua kuchkua uamuzi wa kunimwagilia mbali.
Naanzaje kumlaumu huyo mtu?? Ni wema ameufanya duniani na atalipwa kwa wema wake, mimi nikichepuka dakika hiyo hiyo naanza kuilaumu nafsi yangu, unadhani ntapata wapi ujasiri wa kumlaumu atakaepeleka taarifa kwa mamachanja?? Sembuse KUMTUKANA kama mlivyofanya nyinyi kwa mtoa mada hapa. Huu ndio ukweli kama unautaka.
Marafiki zangu wa kiume wakichepuka??? I think you already have an answer. By the way, ninachokipinga hapa ni nyinyi nyote kumtukana mtoa mada kwa kumuona amefanya mambo haya.
Sio eti kwa kuwa mimi nachepuka ndio iwe justification ya kwamba kuchepuka kunafaa.
Na hafai msikitini, kanisani wala hata mitaani sababu siyo rafiki wa kweli bali ni mnafiki kama panya buku waaa(anang'ata na kupuliza).Wewe ukiona rafiki yako anagongewa mke wake Inamaana hutamuambia?
RAFIKI KILAZA....
🤣🤣🤣 DahAtakuwa alitoa talaka kwa kutumia reference ya kifungu cha sharia 127:1 ibara ya 6 inayosema
Ukiona manyoya ujue kuku kashaliwa
HABARI ZA KIUCHUNGUZI.Kwanza kabla ya kusema lolote ningependa kujipa hongera Mimi mwenyewe kwa kumuokoa mwanaume mwenzangu (baba Nasma) kutoka katika ndoa yake ambayo kwa asilimia kubwa alikuwa anasalitiwa na mke wake na yule fundi sofa, Deus au 'kijicho'.
Pili ningependa sana kuishukuru jamii forum kwa kutuunganisha pamoja kiasi kwamba nimeweza kutumia jukwaa hili kumpasha habari Baba Nasma ambaye ni memba wa jamii forum ambaye ID yake inaanza na 'M' juu ya usaliti wa mke wake na ujumbe umemfikia.
KILICHOTOKEA BAADA YA MIMI KUPOST HABARI HILE:
Baba Nasma alichelewa kidogo kuisoma habari ile humu jukwaani na mtu wa kwanza kuisoma habari yangu alikuwa bwana Salum Mwankenja ambaye ni baba mdogo wa Baba Nasma ambaye humu jukwaani anatumia ID inayoanza na herufi 'T'.
Bwana Salum alinifuata PM na kujitambulisha kwangu na akawa anataka nimuelekeze Rashka Lodge ilipo na akataka nimuhakikishie kama post yangu inaukweli. Na akawa ananishawishi nijitambulishe kwake kuwa mimi ni nani na ninaishi wapi. Mimi nilimjibu bwana Salumu kuwa amtafute Shadya (kuwadi wa mama Nasma) anajua Rashka lodge ilipo na pia anamjua kijicho.
Ila nilichomsaidia bwana Salum kule PM ni kumpa majina ambayo mama Nasma na bwana kijicho waliyoyaandike kwenye daftari la wageni pale Rashka Lodge, ambapo:-
Deus 'kijicho' aliandika kama RICHARD TOBERT na alikuwa jina namba 9 kwenye daftari.
Wakati mama Nasma aliandika kama HAPPYNESS JOHN na lilikuwa jina namba 14 kwenye daftari la pale Lodge. Wote waliandika majina ya uongo.
Ilipofika mida ya saa kumi na moja asubuhi, muhudumu wa Rashka Lodge, Dada Tamali maalufu kama 'mnyamwezi' alinipigia simu na kunitaarifu kuwa Baba Nasma alienda pale akiongozana na watu sita ambapo wanawake wakiwa watatu kwa lengo la kufumania.
Ila cha ajabu walipofika pale Rashka Lodge chumba kinachoitwa 'Tabora' walimkuta mama Nasma peke yake bila ya kuwepo bwana kijicho. Hata sijui jamaa alistukiaje au sijui nani alimtonya na Hata sijui ilikuwaje jamaa akasepa. Yule anamungu sana.
Mama Nasma alipoteza muelekeo bakisa na kuonesha kwamba hakutegea kumuona mume wake na watu wale pale Lodge. baada ya marumbano ya muda mrefu, kuna mzee mmoja anayeitwa Babu Shabani alishauri waondoke pale wakaongelee nyumbani.
Mpaka naandika Uzi huu mama Nasma kapigwa chini na sasa anaishi kijitonyama kwa Dada yake anayeitwa mama Nuru mkaanga samaki. Na bwana kijicho hajaonakana pale kazini kwake mpaka muda huu na hajulikani halipo.
Mishe kwa idhini ya nani, ukibakwa huko na nani alikwambia lodge ni maalum kwa mishe zako ukiwa Mke wa Mtu?Ushahidi wa kimazingira nini??? Lodge alikuwa na mishe zake binafsi, labda bibie anafanya kazi ya ukachero hataki mume ajue?? Anachukuwa room Kutoa data zake na kukamilisha mambo mengine ya kazi kisha anarudi home..... Mimi sikubaliani na namna talaka ilivyotolewa.... Na sisi waislamu kesi hiyo ni lazima uwe umewaona wale watu wakijamiiana tena uwe na mashahidi wanne ndipo huyo mwanamke aachwe na kupigwa mawe mpaka afe.... Sasa jamaa kamkuta maza katulia zake kitandani oooh talaka... Ni ujinga huo
Nachepuka, on my own risk.
Mtu akienda kumwambia mke wangu kwamba nimechepuka, sitokaa nkamlaumu huyo mtu kamwe, na wala sitolalamika kama mke wangu ataamua kuchkua uamuzi wa kunimwagilia mbali.
Naanzaje kumlaumu huyo mtu?? Ni wema ameufanya duniani na atalipwa kwa wema wake, mimi nikichepuka dakika hiyo hiyo naanza kuilaumu nafsi yangu, unadhani ntapata wapi ujasiri wa kumlaumu atakaepeleka taarifa kwa mamachanja?? Sembuse KUMTUKANA kama mlivyofanya nyinyi kwa mtoa mada hapa. Huu ndio ukweli kama unautaka.
Marafiki zangu wa kiume wakichepuka??? I think you already have an answer. By the way, ninachokipinga hapa ni nyinyi nyote kumtukana mtoa mada kwa kumuona amefanya mambo haya.
Sio eti kwa kuwa mimi nachepuka ndio iwe justification ya kwamba kuchepuka kunafaa.
Mishe kwa idhini ya nani, ukibakwa huko na nani alikwambia lodge ni maalum kwa mishe zako ukiwa Mke wa Mtu?
😂😂😂😂😂 haya mtetee kisepe mwenzio NasmaNasma gani mkristo? Halafu sheria za dini hazina uzamani.... Sisi hatuna kuupdate vitabu wala sheria.... Zimewekwa basi Zitakuwa hivyo..... Jamaa kayumbaaa Nimeona watu wamenuna humu
Kisepe nini maana yakehaya mtetee kisepe mwenzio Nasma
Qumer yeyote atakae msema mtoa Mada narudia tena qummer mamakery ....ma tackle yake.. Anatombarwas ..hanis Al habis
Laaner pharaoh .. Bwabwas mkundurous wake unateteaje uovu
Narudia tena msengeresous ukimtusi mtoa mada malayaous
mawenge tuKisepe nini maana yake
mawenge tu
kumbe kuna udukuzi unawezekana kabisa.... Mimi nikupe tu pongezi kwa huu mrejesho
pole sana mkuu.... hopefully uko kwenye harakati za kupata mwingine mwaminifu..Acha kumtisha jamaa,hata mm kuna jamaa kanisaidia sana kwani wife alikuwa na jamaa linamkanyaga,alinishtua na nikawakuta sehemu nilichofanya ni kumuacha wife na jana ndo kamaliza eda yake.
anafanya nn lodge alfajiri?!..Yes really.... Katoa talaka kwa kigezo gani??? Kashuhudia mkewe anachomekwa na kuchomolewa na jamaa? Kama sio hilo tukio halina ushahidi kwa nini atoe talaka?? Usijifanye hujui sharti la fumanizi
ahahahaa atakuwa ni baba nasma huyu anataka ajifunze mbinu mbalimbali za maisha ya jela kabla hajamgeukia kijicho..Mkuu mbona umeandika kistaarabu sana. Iko na adabu sana veve.