KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Bila hiana napenda kuleta mrejesho ila kuthihirisha tabia ya mtume mwema!
Ni takribani mwaka sasa baada ya kupitisha mabango yapatayo mawili kutangaza kumsaka mwenzangu nisiye mjua kwa kudhani labda yupo jf natoa taarifa kuwa sikuweza kumpata humu!
Japo walijitokeza wengi huku kila mmoja akiwa tabia zake, cwachache walionekana kuoverqualify huku wengi wakikosa vigezo hasa vya kijamii.
ANGALIZO:
Wengi wa wanawake wa humu jf ni wake za watu pili they are in relation(michepuko) na tatu most if them ni maharddesire, wenda baada ya kuwa wamekubuhu kwenye relationship and they are desperate.
Hitimisho:
Jamii ni bora kwa wapenda michepuko ila ujue ni kula nikule! Natangaza kuhamishia mbio za kusaka mwenzangu kanisani.
Ni takribani mwaka sasa baada ya kupitisha mabango yapatayo mawili kutangaza kumsaka mwenzangu nisiye mjua kwa kudhani labda yupo jf natoa taarifa kuwa sikuweza kumpata humu!
Japo walijitokeza wengi huku kila mmoja akiwa tabia zake, cwachache walionekana kuoverqualify huku wengi wakikosa vigezo hasa vya kijamii.
ANGALIZO:
Wengi wa wanawake wa humu jf ni wake za watu pili they are in relation(michepuko) na tatu most if them ni maharddesire, wenda baada ya kuwa wamekubuhu kwenye relationship and they are desperate.
Hitimisho:
Jamii ni bora kwa wapenda michepuko ila ujue ni kula nikule! Natangaza kuhamishia mbio za kusaka mwenzangu kanisani.