Mrejesho baada ya kusearch muda wa mwaka mmoja JF

Mrejesho baada ya kusearch muda wa mwaka mmoja JF

Bila hiana napenda kuleta mrejesho ila kuthihirisha tabia ya mtume mwema!

Ni takribani mwaka sasa baada ya kupitisha mabango yapatayo mawili kutangaza kumsaka mwenzangu nisiye mjua kwa kudhani labda yupo jf natoa taarifa kuwa sikuweza kumpata humu!

Japo walijitokeza wengi huku kila mmoja akiwa tabia zake, cwachache walionekana kuoverqualify huku wengi wakikosa vigezo hasa vya kijamii.

ANGALIZO:

Wengi wa wanawake wa humu jf ni wake za watu pili they are in relation(michepuko) na tatu most if them ni maharddesire, wenda baada ya kuwa wamekubuhu kwenye relationship and they are desperate.

Hitimisho:

Jamii ni bora kwa wapenda michepuko ila ujue ni kula nikule! Natangaza kuhamishia mbio za kusaka mwenzangu kanisani.
Chonde chonde kanisani ni sehemu ya ibada na siyo sehemu ya kwenda kutamani mwanamke asiyekuwa mke wako.
 
Hoping everyone has his own fate...Bado na Mimi na nitaweka Bango
 
Una matatizo yako tu,mara hwaqualify, mara wanaoverqualify....dafuq?!! Unatafuta the perfect one eeh? kama kanisani kwako kote hawaqualify, mtaani kwenu hawaqualify, kazini kwenu hawaqualify, kijijini kwenu hawaqualify, haujishtukii tu unakuja kutoapovu jf?!! Kaza domo hilo mtoto wa kiume,hakunaga perfect woman ambaye anafit criteria zako, lazima umtengeneze, siyo ukutane naye tu kwenye mitandao awe perfect kwa kadri unavyomtaka, jf ni jamii kuna watu wa aina nyingi, kujumuisha wadada wa jf hawafai ni kujionesha tu uelewa wako ulivyo mdogo!
 
Una matatizo yako tu,mara hwaqualify, mara wanaoverqualify....dafuq?!! Unatafuta the perfect one eeh? kama kanisani kwako kote hawaqualify, mtaani kwenu hawaqualify, kazini kwenu hawaqualify, kijijini kwenu hawaqualify, haujishtukii tu unakuja kutoapovu jf?!! Kaza domo hilo mtoto wa kiume,hakunaga perfect woman ambaye anafit criteria zako, lazima umtengeneze, siyo ukutane naye tu kwenye mitandao awe perfect kwa kadri unavyomtaka, jf ni jamii kuna watu wa aina nyingi, kujumuisha wadada wa jf hawafai ni kujionesha tu uelewa wako ulivyo mdogo!

Yaan wewe
 
tehe tehe tehe tehe tehe pole sana kumbe kweli watu wanatafuta fursa kupitia JF
 
umri ushaenda sisi bana!

Bora umesema kumbe we MZEE! Mambo ya vijana sasa bivi yanachangamoto ebu tuacheni vijana! Maandiko yanasema vijana wataona maono na wazee mtaota ndoto inawezekana ukawa umelala unaota.
 
Bora umesema kumbe we MZEE! Mambo ya vijana sasa bivi yanachangamoto ebu tuacheni vijana! Maandiko yanasema vijana wataona maono na wazee mtaota ndoto inawezekana ukawa umelala unaota.

vijana wa siku hizi mko nyenyenye sanaa, kutongoza tu tabu, we na akili zako timamu umekosa mwanamke sehemu zoooote hizompaka uje kubandika tangazo mtandaoni halafu utegemee kumpata mwanamke wa "ndoto"?...kaza domo hilo kijana, ukendelea kuwa legelege hivi hata ukiowa utasaidiwa tu kumvua chupi mkeo!
 
tehe tehe tehe tehe tehe pole sana kumbe kweli watu wanatafuta fursa kupitia JF
Mwanzo nilidhani walioko jf ni sawa na walioko mtaani kumbe sio wengi wao humu ni desperate na opportunists basi! Kanisani hakuepukiki kwa anayetafuta moral woman....! Humu mchepuko tu bhaaassi
 
Back
Top Bottom