Mramba: Another Challenge!

Mramba: Another Challenge!

Tuambie makusanyo yalikuwa vp? je kuna malalamiko yeyote ya ubadhirifu katika kipindi hicho? na naomba ueleze umma hiyo kanda ya kusini ilishika namba ngapi katika makusanyo ukilinganisha na kanda nyingine nchini? Kama kazi yake ni kufanya makusanyo, je makusanyo hufanywa ukiwa umekaa ofisini au ukizungukia wanachama? na wanachama wangapi wapya walijiunga na mfuko kipindi hicho katika kanda ya kusini? Na je kama alipewa posho, je posho yake ilizidi stahili yake? Naomba unijibu haya maswali na nitakuambia jinsi ya ubadhirifu unavyotendeka! Na pia ikumbukwe ni mimi niliyesema suala la ufisadi ndani ya LAPF (kwa vile najua linavyoenda)! na nitajibu hapa kukueleza syndicate ilivyo mle ndani maana unachanganya maharage na mchanga!

Sikukusudia kuanzisha mashindano ya hoja lakini ukeli unabaki palepale kwamba ajinadi kwa atakachowafanyia watu wa Rombo na sio historia isiyo na mashiko.
 
Sikukusudia kuanzisha mashindano ya hoja lakini ukeli unabaki palepale kwamba ajinadi kwa atakachowafanyia watu wa Rombo na sio historia isiyo na mashiko.
Acha hasira kaka unapoongelea kuhusu mtu, angalia na suala zima la victimization on a wrong cause/agenda siyo mashindano ila ni kama unavyomjua wewe ndo ninavyomjua mimi! Na ninachoona mimi hapa umeongea mambo lakini sijaona suala la muhimu! yaani lenye uzito wa ku-disregard her competency!

Umetaja hana mume na ukasema hataweza kuongoza kwa vile hana familia, nami nimebisha na nikadiriki kutaka kutoa mfano wa viongozi wengi duniani ambao hawakuwa na mke au mme na kuweza kuongoza vizuri! na ulienda mbali zaidi kusema ana pschological complexities zitokanazo na kutokuwa na mume! nikauliza kama wewe ni Dr wake hujajibu umesema hapa ni mahali muhafaka wa kufikisha ujumbe!

Umesema ni mbadhirifu na nimeomba evidences yaani labda kuna issue ilitokea akachota hela mahali, au alipewa onyo au mahesabu yalitia walakini? hujajibu unasema alikaa nje ya ofisi siku 21 akifanya makusanyo! Geez, humtendei haki kama husemi pia, hayo makusanyo yalikuwa vp na ni wanachama wangapi huko vijijini walijua sheria zao ndani ya mfuko na ni wangapi walijiunga na mfuko na ni wangapi walipata malipo yao kwa muda muhafaka!

Acha personal vendatta inaelekea rungu lake lilikushukia wewe ! ulipokuwa unafanya nae kazi maana si mtu wa kupindisha, mimi mbona sikuyaona hayo unayosema? na namshukuru kwa kunifundisha kazi! na nadiriki kusema ni mchapa kazi! ila co-ordinated corrupt system, let her down to later disregard her!
 
Sikukusudia kuanzisha mashindano ya hoja lakini ukeli unabaki palepale kwamba ajinadi kwa atakachowafanyia watu wa Rombo na sio historia isiyo na mashiko.
soma hapa kaka http://madarakanyerere.blogspot.com/2010/02/notburga-maskini-to-challenge-basil.html na uelewe na muda muhafaka ukifika atajinadi zaidi na zaidi unakaribishwa kusikiliza sera zake! na kwa bahati nzuri/mbaya people judge an individual based on proven accomplishments and not on mere promises! Blame the human nature for that!
 
Nimetoa sababu kwa nini hakugombea Sumbawanga (you bolden it)! Na sasa ameamua kugombea Rombo! muda ukifika atajinadi kwa sera! maslahi ya Rombo unayoyaongelea wewe hapa ni yapi? kuwakilishwa na fisadi sio (asiyekubalika na wabunge wenzake na chama chake)? Mimi naeleza jinsi navyomfahamu na najua ni mtu wa haki! Na namfahamu pia Mramba hata kuliko wewe unavyomjua naweza kumwaga na uozo wake mwingine with concrete evidences! Unapokuwa makazini si kila mtu atakuwa rafiki yako (hili ni la kawaida). Na kwa suala la huyu mama mara nyingi watu walio na bifu na huyu mama ni wale walikutana na rungu lake (kama unabisha taja jina la mtu aliyekutana na rungu lake na nitakuambia sababu)! Ni hicho tu nasema, na sikubali kum-victimize mtu! kuna mtu Kalikanye anasema ati alimsaidia kutoa gari! Jiulize unaweza kumsaidia mtu kutoa gari bandarini bila ya kuwa mfanyakazi huko? na kama ni mfanyakazi huko, je si wajibu wako kutekeleza majukumu? hapa inaelekea huyu mtu alitaka malipo in return, otherwise alichofanya ni kitu cha kawaida na hivi ndo nchi yetu hii inaporudi nyuma kwa vile badala ya kuongelea points na kutoa concrete evidences tunasema hajaolewa, ametoa prado mpya (ikiwa mbovu angesema pia), mkorofi lakini hatuangalii what is the source, bali tunakuwa pschology doctors humu ndani! naombeni evidences ya huo ukorofi na mnihakikishie kwamba ni ukorofi wake kweli with evidences yaani ndani ya misingi ya kupindisha sheria na taratibu! (hakufanya kazi yake inavyompasa, au aliiba hela, au alifukuza/alisimamisha mtu bila ya kosa! na nje ya utaratibu! yaani nje ya sheria za kazi) ama sivyo ni victimization game inaendelea humu ndani!

Mkuu,

Usiniingize kwenye mambo ambayo sijasema,hayo ya prado,bandarini sijui nini sijayasema mimi.

Mkuu,wewe kumbe unaongea kuhusu huyu mama kwa kuwa uko close na yeye?yaani kwa maslahi yako binafsi tu?Sasa mkuu ni hivi,Mimi najenga hoja kwa kuzingatia maslahi ya watu wa Rombo na si maslahi madogo kama ya kwako.

Ukifuatilia post zangu zoote huko nyuma nimeweka maslahi ya wananchi katika centre stage.Sio uje upotoshe umma hapa kwa sababu mgombea ni ndugu,rafiki ,jama,bosi wako nk huku maslahi ya wananchi yakiwekwa Rehani

Pia huo uozo unaoujua kuhusu Mramba,au mgombea mwingine yoyote ni haki yako kujua kama mpiga kura,jinsi ilivyo kwa wengine kujua na au kuanika uozo wa huyo mama.Tumeelewana mkuu?
 
Mkuu,

Usiniingize kwenye mambo ambayo sijasema,hayo ya prado,bandarini sijui nini sijayasema mimi.

Mkuu,wewe kumbe unaongea kuhusu huyu mama kwa kuwa uko close na yeye?yaani kwa maslahi yako binafsi tu?Sasa mkuu ni hivi,Mimi najenga hoja kwa kuzingatia maslahi ya watu wa Rombo na si maslahi madogo kama ya kwako.

Ukifuatilia post zangu zoote huko nyuma nimeweka maslahi ya wananchi katika centre stage.Sio uje upotoshe umma hapa kwa sababu mgombea ni ndugu,rafiki ,jama,bosi wako nk huku maslahi ya wananchi yakiwekwa Rehani

Pia huo uozo unaoujua kuhusu Mramba,au mgombea mwingine yoyote ni haki yako kujua kama mpiga kura,jinsi ilivyo kwa wengine kujua na au kuanika uozo wa huyo mama.Tumeelewana mkuu?
Kuwa na hekima ya kujua sikukujibu wewe pekee! na haikatazwi kuongelea mtu unayemfahamu for this case my former boss! maana kuna watu walitaka kumfahamu humu ndani! sasa kama hukufurahi na nilivyomuelezea pole mzee! maslahi ya Warombo yatakuwa genuine kama siasa za rushwa zitawekwa kando! yaani watu wenye kesi za kujibu wakae kando na pia kama watu wapya watapewa fursa ya kugombea na sio kupakwa matope kusiko na miguu wala kichwa! In short huo ndo msimamo wangu na-support wote wapya ukiacha Mramba mwenye kesi ya wizi wa $11 million!
 
Kuwa na hekima ya kujua sikukujibu wewe pekee! na haikatazwi kuongelea mtu unayemfahamu for this case my former boss! maana kuna watu walitaka kumfahamu humu ndani! sasa kama hukufurahi na nilivyomuelezea pole mzee! maslahi ya Warombo yatakuwa genuine kama siasa za rushwa zitawekwa kando! yaani watu wenye kesi za kujibu wakae kando na pia kama watu wapya watapewa fursa ya kugombea na sio kupakwa matope kusiko na miguu wala kichwa! In short huo ndo msimamo wangu na-support wote wapya ukiacha Mramba mwenye kesi ya wizi wa $11 million!


Kulikua kuna haja gani ya kuni-quote na kujumuisha majibu hayo kwa wengine katika kunijibu?Nadhani ulikosa hekima hapo mzee

Vipi pia unaamnini maslahi ya warombo yataku genuine kukubali mgombea asiye na ajenda ya kuondoa kero za wannanchi,mgombea asiye na office intergrity,mgombea mbinafsi na asiye na PR nzuri na anaowaongoza?

Kama Mramba hafai,still unaamini mgombea anayefanana na Mramba kwa kila kitu isipokua jinsia anafaa?

Msimamo wangu,wagombea wote hao hawafai kwa ajili ya Rombo ila baadhi ya mawazo yao chanya yatahitajika kwa mbunge ataekuwepo.Hapo unasemaje mkuu!
 
Kulikua kuna haja gani ya kuni-quote na kujumuisha majibu hayo kwa wengine katika kunijibu?Nadhani ulikosa hekima hapo mzee

Vipi pia unaamnini maslahi ya warombo yataku genuine kukubali mgombea asiye na ajenda ya kuondoa kero za wannanchi,mgombea asiye na office intergrity,mgombea mbinafsi na asiye na PR nzuri na anaowaongoza?

Kama Mramba hafai,still unaamini mgombea anayefanana na Mramba kwa kila kitu isipokua jinsia anafaa?

Msimamo wangu,wagombea wote hao hawafai kwa ajili ya Rombo ila baadhi ya mawazo yao chanya yatahitajika kwa mbunge ataekuwepo.Hapo unasemaje mkuu!
Umeshinda mzee, ila kuwa na subira jaribu kufikiria kama mimi na wewe tunatangaza azma ya kugombea, tutapata the same response from wabaya wetu (hata wakiwa wachache!). Na kuhusu sera za wagombea wapya subiri mzee, muda muafaka utafika na utawaskia! Ila nakushauri usiamini kila unachoambiwa PR is a wide term na inaweza tumika vibaya na kuharibu kazi! Otherwise siku njema
 
Umeshinda mzee, ila kuwa na subira jaribu kufikiria kama mimi na wewe tunatangaza azma ya kugombea, tutapata the same response from wabaya wetu (hata wakiwa wachache!). Na kuhusu sera za wagombea wapya subiri mzee, muda muafaka utafika na utawaskia! Ila nakushauri usiamini kila unachoambiwa PR is a wide term na inaweza tumika vibaya na kuharibu kazi! Otherwise siku njema


Asante!

Suala la mimi na wewe kutangaza kugombe ni lingine,hata nikitangaza kugombea nitakuwa tayari kuchambuliwa na kuwekwa ktk mizani.Ni haki ya msingi kabisa ya wapiga kura,ili mradi tu yanayosemwa yawe ya kweli

Lazima nikubali kuwa nina mapungufu na pia wapapmbe wangu inabidi pia kama wananipenda kweli wanishauri na kuelezea yaliyo mazuri pasipo ubinafsi na bila kuweka propaganda potofu!

Tuendelee kujadiliana,still kuna wagombea wengine
 
Nasikia Notburga aliwashangaza aliposhughulikia malalamiko ya mtumishi wa kike aliyenyanyaswa kijinsia na meneja wake . Menejimenti yenye watu kama wewe iliyapuuza kwa imani potofu kuwa ukiwa madarakani basi wanawake wa ofisini kwako ni marupurupu yako!!! ? meneja alifutwa kazi baada ya tume huru kukamilisha kazi..unasema ulimsaidia kutoa gari??? kivipi? fafanua je kwa uelewa wako LAPF kutoka chini Tamisemi na kuwa shirika mwaka 2000 ni sawa na kutoka mfuko wa akiba na kuwa mfuko wa pensheni July 2005? .Nimeamini unamwangalia kwa woga kama umekaa LAPF tangu 2006 na hujui tofauti na wewe ndio guru katika utawala ndio maana mfuko unafilisika. Umekalia utalii na hija mara israel mara shopping dubai bila faida yeyote kwa wanachama wa mfuko. poleni wanachama wa LAPF hicho ni kilio kingine kama cha wastaafu wa Africa mashariki watanzania mpoooo??
alaa DHRA unasema kweli ? Ati mume au mke anatoa tension?kama ni hivyo mbona ww umeoa lakini unatumia nafasi yako kufanya haki za watumishi na raia kama chambo? kutongoza wake za watu hadi ulipata kichapo ofisini na mume wa H.....wewe DFA na DG mko honeymoon?? kwa hicho mnachoita PR na maisha binafsi? mnalazimisha mahusiano kwa kubadilisha na ajira , promotion, na hata hatua za ninidhamu mambo yanapoharibika. mahusiano ya maridhiano yapo. lakini hata kama hawalalamiki jiulize je ningekuwa sina madaraka angenikubali??? je kiongozi sehemu ya kazi huna mchango katika maisha binafsi ya mtumishi mwenzako?? kusababisha ndoa ya mtumishi kuvunjika ni uwezo wa kuongoza au ni balaa kwa jamii busara ya kawaida inatosha wala huhitaji kupekuwa vitabu.
 
shobo
user_online.gif

shobo has no status.
Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Tue Mar 2010
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Mramba: Another Challenge!



So,Mkuu umejiunga tu kwa ajili ya kuandiaka haya uliyoandika hayo hapo juu ama? Karibu jamvini na fuatilia huu mjadala kuanzia mwanzo ili uchangie kwa uelewa zaidi.Again,karibu sana hapa jamvini
 
shobo
user_online.gif

shobo has no status.
Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Tue Mar 2010
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Mramba: Another Challenge!



So,Mkuu umejiunga tu kwa ajili ya kuandiaka haya uliyoandika hayo hapo juu ama? Karibu jamvini na fuatilia huu mjadala kuanzia mwanzo ili uchangie kwa uelewa zaidi.Again,karibu sana hapa jamvini
Mkuu hebu acha watu waseme ukweli maana mimi naifuatilia hii thread kila siku hapa inaelekea kuna mchezo mchafu unatendeka haswa kumchafua huyu mama safari yake ya kuwania ubunge! Kuna mtu (Kalikanya) alisema huyu mama hawezi kuwa kiongozi kwa vile ni mkorofi na sababu hana mume/familia kama sikosei! halafu at the same time akasema alimsaidia kutoa gari sasa Geza Ulole akamuuliza kama alitaka malipo kalikanya akawa mkali! Sasa kama mtu amejiunga kutoa ushuuda mwache aongee! Wapiga kura wajue mchele na mawe!
 
Mkuu hebu acha watu waseme ukweli maana mimi naifuatilia hii thread kila siku hapa inaelekea kuna mchezo mchafu unatendeka haswa kumchafua huyu mama safari yake ya kuwania ubunge! Kuna mtu (Kalikanya) alisema huyu mama hawezi kuwa kiongozi kwa vile ni mkorofi na sababu hana mume/familia kama sikosei! halafu at the same time akasema alimsaidia kutoa gari sasa Geza Ulole akamuuliza kama alitaka malipo kalikanya akawa mkali! Sasa kama mtu amejiunga kutoa ushuuda mwache aongee! Wapiga kura wajue mchele na mawe!


Mkuu,

Sijamzuia huyu jama kuchangia,nimemshauri afuatilie mjadala ili tuwe na health debate.Si ndivyo JF inatakiwa kuwa?
 
Mkuu,

Sijamzuia huyu jama kuchangia,nimemshauri afuatilie mjadala ili tuwe na health debate.Si ndivyo JF inatakiwa kuwa?
Kaka si unaona amemjibu Kalikanye? inaelekea wanajuana hawa wote Geza, Shobo na Kalikanya inaelekea wako LAPF yaani ni wafanyakazi maana kuna mahali wanasema Kalikanya alipigwa ofisini kwa vile ya kutoka na mke wa mtu! waache wamwage mchele tutajua pumba na at last we make decisions
 
Kaka si unaona amemjibu Kalikanye? inaelekea wanajuana hawa wote Geza, Shobo na Kalikanya inaelekea wako LAPF yaani ni wafanyakazi maana kuna mahali wanasema Kalikanya alipigwa ofisini kwa vile ya kutoka na mke wa mtu! waache wamwage mchele tutajua pumba na at last we make decisions
Halafu kama Kalikanya=DHRA then ukae chonjo maana hata cheti huna yaani Masters yako ni fake hapa ofisini tunajua hilo! Umuache mama wa watu, mmemfukuza sasa anatafuta ustaarabu mwingine! Tunam-miss haswa utaratibu wake wa mafunzo kwa wafanyakazi maofisini kujiendeleza kielimu! wewe DHRA, DG na DFA endeleeni kuiba hela za mfuko haswa huyo bwana John Kida ndo kiongozi wenu wa kubadhirisha mahesabu!
 
Kaka si unaona amemjibu Kalikanye? inaelekea wanajuana hawa wote Geza, Shobo na Kalikanya inaelekea wako LAPF yaani ni wafanyakazi maana kuna mahali wanasema Kalikanya alipigwa ofisini kwa vile ya kutoka na mke wa mtu! waache wamwage mchele tutajua pumba na at last we make decisions

Tuko pamoja kaka,thanks!
 
Tuko pamoja kaka,thanks!

Kaka naona utaanza kupata picha ya hao wanaosema huyu mama hana uhusiano Mzuri nathani uhusiano mzuri kwao ni kushirikiana nao kwenye wizi au wanakufanyia zengwe kuondolewa kazini! Connect the dots kwenye story hii uone LAPF inaguswa

Ikulu yanuka ukabila
Counterpunch
user_offline.gif
Today, 08:54 AM
Ikulu yanuka ukabila


Na Saed Kubenea

RAIS Jakaya Kikwete sasa anatikiswa kwa tuhuma kwamba ikulu imekumbwa na ukabila, MwanaHALISI limeelezwa.

Taarifa zinasema tuhuma hizo tayari ziko mezani kwake na zinamhusu mtendaji mkuu wa ikulu.

Anayetajwa kuhusika na ukabila ni Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo ambaye inadaiwa analinda watu wa mkoa anakotoka – Iringa.

Lakini Luhanjo alipopigiwa simu kutaka kauli yake alijibu kwa sauti ya ukali, "Kwani kama wewe ni mwandishi wa MwanaHALISI ndiyo unipigie simu saa hizi?"

Hiyo ilikuwa Jumamosi saa mbili usiku.

Alipoelezwa kwamba gazeti liko tayari kukutana naye wiki hii wakati wowote atakapokuwa tayari, Luhanjo alijibu, "I will not talk with you for anything (Sitazungumza lolote na wewe)." Alikata simu.

Hata hivyo chanzo cha taarifa hizi kinasema, "Luhanjo amejiimarisha kweli na anaweka watu wake kila eneo na wanataka kujenga himaya yao."

Luhanjo anahusishwa na upendeleo wa ukabila katika hatua ya serikali kuipa zabuni kampuni ya Peacock Hotels Limited kuendesha mradi wa hoteli katika jengo la Millennium Tower, Kijitonyama, Dar es Salaam.

Inadaiwa Luhanjo ana mkono katika kubeba Peacock Hotels ambayo mmiliki na mkurugenzi mtendaji wake, Joseph Mfugale pia anatoka Iringa.

Lakini Mfugale anakana kubebwa, akisema "Tulishindana tukashinda na kulipa dhamana, tena milioni nyingi – dola 165,000 (Sh. 171 milioni)."

Alisema tatizo la fedha za dhamana walizotoa ni kwamba kulitokea mpango wa kuziiba ili tenda apewe mtu mwingine.

"Waliposhindwa mpango wao, mkurugenzi wa raslimali aliamua kujiuzulu na sasa nasikia amepata kazi mahali pengine," alidai Mfugale.

Mfugale anasema fedha za dhamana zililipwa kupitia benki ya CRDB, tawi la Kijitonyama.

Millennium Tower inamilikiwa na Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa (LAPF), ulio chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Mbali na Luhanjo, mwingine anayedaiwa kumbeba Mfugale ni Katibu Mkuu wa TAMISEMI, Maimuna Tarishi ambaye pia anatoka Iringa.

Tarishi ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya LAPF. Inadaiwa Mfugale aliwasilisha malalamiko kwa watendaji wa juu wa serikali kwa kile alichodai, "kuhujumiwa katika zabuni."

Tarishi hakupatikana kutoa maoni yake juu ya madai hayo. Katibu muhtasi wake aliyeko Dodoma alijibu kuwa Tarishi yuko Dar es Salaam na kwamba "simu yake ya mkononi aliisahau Dodoma."

Awali nyaraka za zabuni za Mfugale ziliwekwa kando kwa madai ya kukosekana dhamana ya benki, jambo ambalo alilalamikia.

Imedaiwa kuwa baada ya Mfugale kulalamika, Luhanjo aliagiza uongozi wa TAMISEMI kufuatilia malalamiko hayo.

Katika malalamiko yake, Mfugale anatuhumu Julius Mfukwe, ambaye alikuwa mkurugenzi wa vitegauchumi wa LAPF, kuchomoa nyaraka zake za dhamana za benki ili kubeba mmiliki wa Hotel ya Paradise.

Tayari Mfukwe ameacha kazi katika mfuko huo na sasa ameajiriwa na Mamlaka ya Bandari nchini (THA).[Huyu anafanana na (Kalikanye) ambaye alisema ati huyu mama hana mume na hawezi kufanya kazi kwa vile ni mbabe wakati huohuo akasema alimsaidia kutoa gari lake Bandarini! nikamuuliza kama alimtaka kimapenzi akakataliwa akawa mkali!!]

Alipoulizwa juu ya madai hayo ya Mfugale, Mfukwe alijibu kwa sauti ya upole, "Hii namba yangu umeipata wapi?"

Alipoambiwa kuwa yeye ni mtu mkubwa anayefahamika, alijibu, "Kaka, nakushukuru lakini sina la kusema."

Alisema, "Mimi sipo huko tena. Siwezi kuongea chochote kinachohusu LAPF kwa kuwa si msemaji wao. Nakuomba uwatafute viongozi wa mfuko ndio watakueleza."

Hata hivyo, kwa mujibu wa vyanzo vya taarifa kutoka serikalini, wakati wa ufunguaji zabuni ya kuendesha hoteli katika jengo hilo la Millennium Tower, Mfugale hakuwa ametimiza sharti la kuweka dhamana ya benki kama ambavyo tangazo la zabuni liliagiza.

"Zabuni ilifunguliwa hadharani na kuhudhuriwa na kila muombaji. Huyu bwana hakuwa ameweka bond kwenye zabuni yake. Baada ya kuona kwamba amepoteza sifa, akaanza kutafuta msaada," kimeeleza chanzo cha taarifa.

Kabla ya kukodishwa kwa Mfugale, hoteli ilikuwa inaendeshwa na kampuni ya African Sky kutoka Afrika Kusini. Kampuni inadaiwa iliondoka na deni la dola 400 milioni.

Kwa utuki tu, Mkurugenzi Mkuu wa LAPF ni Eliud Sanga na Meneja Mkuu ni Injinia G. Matovola wote kutoka Iringa.

Kwa muda mrefu mkoa wa Iringa umetoa viongozi katika ofisi ya rais. Kwa mfano, Emilius Mzena, Augustine Mahiga na Hans Kitine wote kutoka Iringa, walikuwa wakurugenzi wa usalama wa taifa.

Aidha, Kitine na Peter Siyovelwa wamewahi kuwa mawaziri ofisi ya rais wanaoshughulikia usalama wa taifa.

Wengine ambao wanatoka Iringa na wako ofisi ya rais; na huenda kwa utuki tu ni Rajab Luhavi na Lumbila Fyataga ambao ni wasaidizi.

Miongoni mwa watu mashuhuri kutoka Iringa ambao wamo katika nafasi za juu kimadaraka nchini ni pamoja na Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu.

Kwa mujibu wa gazeti la kila siku la NIPASHE, Mchechu hakuwa miongoni mwa watu waliofanyiwa usaili kwa kuwa "hakuwa na sifa" ya kupewa kazi aliyoomba.

Mchakato wa kumpata mkurugenzi mkuu wa NHC, ulisimamiwa na kampuni ya Price Water House Cooppers na uligharimu serikali zaidi ya Sh. 82 milioni.

Hata hivyo, pamoja na kwamba Mchechu aliomba nafasi hiyo, hakuwa short listed (kuwa miongoni mwa waliopitishwa kwa kufanyiwa usaili).

"Kwa hiyo serikali imetumia mamilioni ya shilingi za umma kwa kazi ambayo haikuwa na tija, kwa kuwa aliyeajiriwa hakufanyiwa usaili," ameeleza mjumbe mmoja wa bodi iliyomaliza muda wake.

Amesema serikali imelipa kampuni ya ushauri ya Price Water "lakini kazi yote iliyofanyika imetupwa kapuni."

Taarifa za baadaye zimesema kuwa uongozi wa NHC tayari umeidhinisha Mchechu kulipwa mshahara wa dola za Marekani 11,000 (Sh. 14 milioni) kwa mwezi, jambo ambalo linatajwa kuwa linaweza kuangamiza hata shirika lenyewe.

Kwa mujibu wa mtoa taarifa, Mchechu ameacha malipo ya dola 16,000 kwa mwezi katika Benki ya Biashara Afrika (ABC) ambako alikuwa anafanyakazi.

Haikufahamika kwa nini ameamua kuacha kazi penye mshahara mkubwa kuliko ule atakaokuwa anapata NHC.

Source: Mwanahalisi, Issue No 181

NB: Nathani unaanza kuelewa syndicate ya ufisadi inayoweza kukufukuza kazini na kuendelea kukufuata na kukuchafua unapotafuta riziki nyingine hata kama ni kwa kutumikia (tuwe waangalifu jamani)
 
Mimi ninamfahamu huyu mama kwakuwa nilifanya nae kazi Iringa wakati huo akiwa meneja wa kanda LAPF miaka ya 2005-2008.
Huyu mama ni MKOROFI KULIKO MNAVYOMFIKIRIA. Anazo hizo qualifications za utawala lakini kwenye masuala ya Relations na wafanyakazi wenzake huyu mama ni SIFURI. Hana lugha nzuri, mbabe, anakutumikisha anavyotaka na ole wako umchallenge! Alimfukuza kazi dereva wake alikua anaitwa Mwakingwe kwa sababu za kipuuzi, Mwakingwe akakata rufaa akashinda akahamishiwa Arusha. Hafai.....

Nimefanya utafiti kuhusu baadhi ya shutuma dhidi ya Notburga Maskini, na nimefanikiwa kupata majibu ya baadhi ya shutuma hizo. Mwenyewe anaeleza (nanukuu):


Mzitokabwela anatoa shutuma hizo kiujumla mno. Inategemea yeye ananifahamu katika masuala gani. Nijuavyo mimi ni mtu wa kutumainiwa, mchapakazi na mwenye mahusiano mazuri na watu, watumishi, marafiki zangu, jamii, wale ninaowatumikia, au kuwaongoza, na mara nyingine hata wasionifahamu. Aidha najua haki na wajibu wangu kama mtumishi wa umma.

Mzitokabwela anachukulia kutofautiana kimsimamo juu ya wajibu haki, maadili ya utumishi wa umma na ya kitaaluma, matumizi ya madaraka, tabia ya utendaji na mahusiano na watu wa aina mbalimbali kama ukorofi kwa sababu zake binafsi. Anafanya hivyo kupotosha ukweli ulivyo kwa makusudi kutimiza agenda yake iliyojificha.

Sikumfukuza kazi Dereva aliyetajwa kwa sababu zifuatazo:

• Kwa mujibu wa kanuni za Utumishi wa LAPF kazi ya kumnidhamisha mtumishi wa ngazi ya Dereva katika Shirika ni ya Kamati ya Ajira na nidhamu;
• Mwenyekiti wa Kamati hiyo ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika na Katibu wake ni Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala;
• Mamlaka ya rufaa kwa mtumishi huyo ni Bodi ya Wadhamini; na si Mkurugenzi Mkuu.
• Wajumbe wa Kamati hiyo ni Wakurugenzi wote wa Shirika;
• Mimi tangu Februari 2006 nilikuwa Meneja wa Kanda ya nyanda za juu kusini;
• Sikuwa hata na nafasi ya ujumbe katika kamati ya Ajira ambayo ilikuwa ilishughulikia suala la Dereva Huyo na ilikuwa Makao Makuu.
• Sikuwa na madaraka yoyote ya kuweza kumwachisha kazi. Aidha;
• Uzoefu wangu katika utendaji, sijawahi na wala si utaratibu kushughulikia mimi binafsi suala la mtu niliye karibu naye kama huyu dereva au mwingine wa aina hiyo;
• Si utaratibu kushughulikia kesi ya mtu aliyekukosea. Haiingii akilini; watu watajuaje kama ni hasira na nataka kulipiza kisasi?
• Nilichokuwa naweza kufanya katika suala la mtumishi huyu ni kutoa taarifa Makao Makuu ili taratibu ziweze kufuatwa.

Kwa maana hiyo sikumfukuza na wala hakukata rufaa yoyote. Badala yake mtumishi huyu alifanya makosa yaliyoonekana dhahiri na Menejimenti na alipewa barua za kuonywa mara mbili katika nyakati tofauti. Mara ya kwanza aliadhibiwa kwa kukataa maelekezo ya kupeleka gari kutengenezwa TEMESA ambaye ni wakala wa Serikali na kuipeleka kwenye gereji ya watu binafsi bila kufuata utaratibu uliotakiwa. Mara ya pili katika kipindi hicho hicho alifanya makosa mengine ya utovu wa nidhamu ambayo yaliripotiwa makao makuu na alipewa onyo na kuhamishiwa Kanda ya Kaskazini huko Arusha. Vielelezo vyote vipo. Aidha maelezo yake hayana ukweli.

(Mwisho wa kunukuu)

Naendelea kuandaa majibu ya shutuma nyingine zilizotokana na thread hii ya kupambana na Basil Mramba.
 
Staff wake woooote walikuwa wanamwogopa kuliko wanavyomwogopa shetani....kwa kuwa HAKUWA na mahusiano mazuri na staff wake.

Notburga Maskini anaendelea kujibu shutuma dhidi yake (nanukuu):

(2) Mzitokabwela: Anaogopwa kama shetani ni mbabe na mtishaji, hana PR

Jibu: Siogopwi wala simtishi yoyote. Huenda Mzitokabwela na wenzie ndio wananiogopa. Cha ajabu pamoja na shutuma nzito, alizotoa, Mzitokabwela ametakiwa kutoa ushahidi na vielelezo kuthibitisha ukorofi, vitisho nilivyofanya lakini ameshindwa kufanya hivyo. Uzoefu nilio nao katika Menejimenti, siamini katika kumtisha mtumishi. Watumishi hujifunza ili kuepuka makosa na kuboresha utendaji. Kutokana na msimamo huo nimejenga mahusiano mazuri kokote nilikofanya kazi na kuweza kuleta mabadiliko yenye tija kwa haraka. Watumishi hujisikia salama na wanapenda kufanya kazi na mimi bila woga. Nikiwa LAPF nilileta mabadiliko makubwa ya mahusiano mazuri na watumishi. Baadhi ya watu waliokuwa na agenda zao walisema ninadekeza watumishi. Baada ya kuhakikishiwa na mamlaka nyingine kuwa hiyo ndio namna nzuri ya kusimamia watumishi, na kushuhudia mtumishi mwenye ngazi ya juu kuachishwa kazi, wamezua hili la kutisha watumishi.

Kutokana na ugeni wake katika utumishi wa umma dereva aliyetajwa baada ya kufanya nae kazi katika kipindi cha mwaka na nusu tangu kuajiriwa mwaka 2006; na kuthibitishwa kazini, na akitegemea mahusiano yake na kiongozi wa Makao Makuu aliamua kutaka kutumia fursa hiyo kuidhinisha matengenezo ya gari anakotaka yeye kwa uelewa kuwa sina mamlaka ya kumnidhamisha. Kitendo cha kuadhibiwa wakati aliamini kuwa analindwa na ndugu yake ambaye alikuwa na madaraka ya ukurugenzi kilimfanya aniogope kuliko alivyokuwa anafikiria. Tatizo ni tabia ya baadhi ya watumishi na viongozi kutenganisha cheo au madaraka na sheria. Maamuzi mengi hufanywa bila kuzingatia kanuni na sheria zinazoongoza katika kutumia madaraka hayo.

Tatizo la woga linatokana na tabia ya mtumishi anapokuwa na tabia zinazodhalilisha utumishi wa umma k.m wizi ufisadi rushwa na uvunjifu wa sheria na maadili ya utumishi kwa makusudi. Kutokana na msimamo wangu na mifumo niliyojiwekea ya kugundua mambo yanayofanyika kinyume katika maeneo ninayosimamia, mara nyingi imekuwa vigumu sana kwa mtumishi mhalifu kufanikiwa kufanya uhalifu wa aina yoyote chini ya uongozi wangu hata kama analindwa. Napenda Mzitokabwela aelewe kuwa kwenye kulinda heshima, haki na uadilifu wa mtu huwa hakuna itifaki. Ni lazima kusema ukweli bila kuogopa na kutoa vielelezo vinavyohusika hata kama vinamhusu mkubwa wako.

Bahati nzuri; hata wale wanaonisimamia wenye tabia nilizotaja au wasio waadilifu imewawia vigumu sana kunitumia na kuniingiza kwenye makosa. Nadhani ndio maana Mzitokabwela ameamua kwa maelezo yake mwenyewe kuchagua uendawazimu kama njia ya kuhusiana na mimi kikazi! Bahati Mbaya simjui mzitokabwela ni nani maana amekuwa mwoga kutaja jina lake halisi aidha kutokana na utata wa shutuma anazotoa. Angeandika jina ningaliweza kujua ni nini msingi wa shutuma hizo. Aidha; ni vema akatia akilini kuwa wendawazimu wake utamtia hasara mwajiri wake kwani kila mtumishi ana haki zake za kisheria na kujitia mwendawazimu bila kufuata sheria ni kosa kubwa la kimenejimenti.

Nimechagua baadhi ya mambo yanayotoa picha juu ya mahusiano yangu na watu mbalimbali, wakubwa zangu wa kazi, watumishi wenzangu wale ninaowasimamia na kuwaongoza, wateja, na makundi mbalimbali katika jamii, na hata wasionifahamu.

Naendelea kukusanya majibu toka kwake.
 
....Nafasi aliyonayo Mama Six yeye pia aliigombea 2005 akaangukia pua.

Notburga Maskini anaendelea kujibu hoja (nanukuu tena):

(3) Baadhi ya mambo yanayoashiria tabia na mahusiano yangu ni kama yafuatayo:-

1.0 Kukubalika katika makundi ya watu wa aina mbalimbali:
1.1 Sehemu kubwa ya maisha yangu kuanzia shuleni, utumishi na jamii nimekuwa kiongozi. Hali hii imenifanya nishindwe kujitofautisha au kuweka umbali kati yangu na watu hasa wanyonge. Ndio maana hata nikiwa na madaraka ya kuwasimamia watumishi wenzangu kiutendaji katika ngazi ya menejimenti bado waliendelea kuniamini na kunichagua kuwawakilisha. Nafarijika kusema kuwa pamoja na mafanikio niliyoonesha katika maeneo niliyosimamia; sijawahi kuonekana kama ‘Boss’na wote niliowasimamia kwa maana ya watumishi na Wananchi.

1.2 Nafasi hizo ni Dada Mkuu wa Shule, Katibu wa tawi la Vijana (TYL), Katibu wa Tawi la wafanyakazi Tume ya utumishi wa Serikali za Mitaa (TUMITAA), ujumbe katika kamati ya Ajira Serikalini; Mkurugenzi Mtendaji, kaimu mkurugenzi wa utumishi na Utawala na nafasi nyingine kama ilivyo kwenye maelezo yangu binafsi. Nilichaguliwa na wenzangu kuwa Katibu wa Tawi la chama cha Wafanyakazi(nikiwa kaimu Mkuu wa Idara ya Utumishi na Fedha). Wengi mtakubaliana nami kuwa kuna baadhi ya wakubwa wa aina hii hutumia nafasi hizi kufanya mbwembwe, kujipatia fedha kwa kuwanyima haki watumishi wenzano, kuwatisha wateja wao na kuwadhalilisha hasa watumishi au wananchi wasio na madaraka!

Nilipopangiwa kazi katika Idara ya Ajira ya Tume nilipangwa kuwahudumia wafanyakazi wa Serikali za Mitaa nchini. Katika nafasi hii nilijenga mahusiano ambayo sikuyajua mpaka mwaka 2003 nilipojiunga na Mfuko wa Akiba wa Serikali za Mitaa.


1.3 Nilipokwenda LAPF mwaka 2001 kusimamia Component ya Menejimenti wakati wa kubadilisha Mfuko huo wa Akiba kuwa wa Pensheni tulishirikiana na Chama cha wafanyakazi wa Serikali za Mitaa kuunda Tawi la chama cha Wafanyakazi na Baraza la Wafanyakazi.

1.4 Kutokana na mahusiano hayo, Baraza Kuu la Chama Cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa TALGWU, walinichagua kwa kura sabini na tatu(73) kati ya kura themanini na mbili (82) zilizopigwa kuwawakilisha katika Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la vyama vya Wafanyakazi TUCTA safari hii nilikuwa (Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Utawala LAPF). Ningekuwa mtishaji, ninayeogopwa nisingechaguliwa. Viongozi wenzangu walishangaa sana na kuniuliza ni kwa nini nimechaguliwa kwa kura nyingi kiasi hicho. Huenda walitishika na kitendo hicho.

1.5 Miaka miwili baadae nilichaguliwa kuwa mmoja wa wagombea 9 wa kiti kimoja (1) cha wafanyakazi. Japokuwa sikupata Ubunge; nilipata kura zipatazo 33 za wajumbe ambao nilikutana nao kwa mara ya kwanza au ya pili. Aliyeshinda alipata kura 60 kati ya kura 125 zilizopigwa. Wagombea wengine walipata kura 14,4,3,3,3,3,2 na 0. Kwa upande wangu wote tisa tulifanya vizuri; tulikwenda tukijua isingewezekana wote kuwa wabunge katika nafasi moja iliyokuwepo. Si mimi wala yeyote kati yetu aliyeangukia pua kama Mzitokabwela anavyoeleza kwenye maoni yake. Tulifurahi kwa kupata uzoefu na uwezo wa kushiriki, kujitangaza na kujenga mahusiano kati yetu wagombea, wapiga kura na viongozi wengine. Nina uhakika nisingeshiriki katika uchaguzi huo nisingeweza kutangaza nia kama nilivyofanya.

1.6 August Mwaka 2006 nilichaguliwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Vyama vya wafanyakazi wa Tanzania TUCTA kwa kura 163. Aliyenifuatia alipata kura 65. Japokuwa nilifika mkutanoni siku moja kabla ya Uchanguzi nikitokea kijijini kwenye msiba wa mama mzazi. Nilipokea simu kutoka kwa mmoja wa viongozi wa TUCTA akiniuliza iwapo tumekwishamzika mama. Nilipomjibu ndio, alitaka niende Arusha. Nilijisikia mchovu na nilimwomba waendelee.

1.7 Baadae nilipigiwa simu na wajumbe wengine sita kila mtu kwa wakati wake kunishawishi niende. Mmoja kati ya hawa alikuwa ni mgombea wa nafasi hiyo ambayo iligombewa na watu 11. Alinieleza kuwa ni mgombea wa nafasi hiyo; lakini alinitaka niende kwa maneno yafuatayo namnukuu:

…”mimi nimechukua fomu, lakini ninavyoona upepo unaelekea sana kwako. Tafadhali njoo, nitakapotolewa kwenye mchakato, mimi na kundi langu tutakuunga mkono wewe…”.


1.8 Nilifika Arusha siku moja kabla ya uchaguzi na nilishinda nafasi hiyo. Ushindi wangu uliwafurahisha wengi walionifahamu hasa Watumishi wa Serikali za Mitaa na LAPF. Tawi la Wafanyakazi LAPF walinipongeza kwa barua. Menejimenti haikunipongeza lakini baadae walinitumia sana katika kuushawishi uongozi wa Chama cha Walimu ili waalimu waandikishwe kwenye Mfuko wa LAPF.

1.2 Matokeo haya ni ushahidi wa mahusiano mazuri nilio nao na wenzangu. Nimeendelea kujenga uwezo na uzoefu wa kusimamia maslahi ya umma na pia ya wafanyakazi kwa wakati mmoja.

Majibu mengine yanakuja.
 
Ama kweli wabongo kichwa maji!..
nchi inaliwa mbele nyuma bado mnaweka matumaini ya kumtegema mtu fulani kuwa mbora zaidi ya mwingine..
Binafsi naamini kabisa kwamba hakuna mtu hata mmoja anayeingia bungeni kutafuta kubadilisha maisha ya mwananchi wake isipokuwa kupata nafasi ya kuvuta mishahara minono na ruzuku ambazo ni kivutio kikubwa kwao....wabunge waliopo na watakao kuja wote ni wezi watupu kwani huwezi kutumia mtaji wa zaidi ya millioni 300, fedha toka mfukoni mwako kujitangaza ati kwa ajili ya kuwatumikia wananchi..

Hivi sasa kila msikiaye anauza mali za urithi, mali za taifa hadi mchanga maadam wote wanajiandaa na uchaguzi... hii kweli inaingia akilini?. jamani hakuna mwema huko Dodoma wote chama moja - Madalali. Hawauzi kitu isipokuwa kwa kutegemea makato ya pato lao wenyewe..Ile 10% imefikia ilokuwa kwa viongozi wa juu sasa hivi imefika hadi serikali za mitaa, kwa hiyo hakuna biashara ya kanisa hapa. Kifupi hakuna afadhali, hawa wote wakipewa nafasi ya Mramba watayafanya madudu kama ya Mramba na pengine zaidi yake!
Nimesema hapa Bongo kila mtu ni strker, mpe nafasi atakufunga tu goli, hakuna cha sheria wala mjomba wake.. wanakula nchi kwa kwenda mbele kaa mchwa.

Mkuu Mkandara kila mtu ni ambitious na kila mtu ni opportunist. Kama una sema kila mtu anaye enda Dodoma ni mnyonyaji anaye taka kuji limbikia mali basi ni sawa na kusema ungekuwa na wewe in the same position ungefanya hivyo. So hapo una kubali it's human nature. Ndiyo mishahara na marupurupu ya ubunge yana attract watu wengi lakini siku hizi kila mtu anajiangalia yeye binafsi kwa hiyo ubunge usingekua na mafao basi vijana wote tunge kimbilia kwenye private sector na kuendelea kuwa achia wazee na siasa zao.

Kuhusu watu kujilimbikizia mali mkuu in one way or another sote tuna taka kujiongezea kipato. Hakuna anaye ridhika na alicho nacho. Inge kuwa hivyo basi kuna watu wengi tu wenye mafanikio wangestaafu tokea ni vijana. SHida siyo wabunge kula hela nyingi. Shinda ni wabunge kula hela nyingi without nothing to show for it. Ngoja nitoe mfano na naomba nisionekane kwamba na advocate hili swala. Hivi mbunge ange jilimbikia mali lakni aka fungua miradi mbali mbali au biashara mbali mbali jimboni mwake na kuajiri wananchi wake kuna mtu ange lalamika? Wakina EPA waliiba fedha na kuzificha kwenye account za nje, hivi hizo pesa wange zii-invest humu humu ndani na kuongeza ajira kuna ambae ange lalamika?

Kwa hiyo mkuu tatizo tulilo nalo wengi siyo kwamba wabunge wetu wana take alot tatizo letu nao ni kwamba they take and take without giving back, Watanzania walio wengi wange ridhika na kuwa na basic needs tu lakini inauma pale tunapo ona watu wanaiba mabilioni lakini hizo bilioni zinaenda kufaidisha benko za nje au watu wachache ambao wako karibu na huyo mbunge.

Kwa kumalizia tu labda nitoe tu mfano mkuu. Mimi ningekua mbunge wako na nakula mshahara wa milioni 12 kwa mwez pamoja na marupurupu lakini wananchi wangu nawa jali na wala sijivungi, barabara nawa jengea, shule nawa jengea na huduma nazi bu=oresha bado unge lalamikia mshahara wangu hata kama wewe mshahara wako siyo robo na wangu? Sisi Watanzania hatuna tatizo na wabunge wetu kuwa matajiri wa kutupwa. tatizo letu ni wabunge wetu wana kula hela nyingi for nothing. Tuki pata wabunge ambao at least they show something for the large pay they receive nakuahidi hamna ambae ange lalamika.
 
Back
Top Bottom