Hata mimi namfahamu huyu mama pia (nimefanya nae kazi)! na nadiriki kusema haya!
Kama wamfahamu vizuri naamini kuwa utatoa fair comment kama nilivyofanya mimi.
[/QUOTE]Inavyoelekea wewe utakuwa Dr wa saikologia na personal dr wake nathani (kwa kudiriki kuhusisha kutoolewa kwake na utendaji wake wa kazi, kwa hivyo basi unaweza kumpa pia kumpa ushauri nasaha na kumsaidia baada ya kufanya hii hypothesis!).![/QUOTE]
Njia niliyotumia naamini amepata ujumbe.
[/QUOTE]Na kwa maelezo yako inaelekea character ya huyu mama ni Iron Lady-like yaani mwenye kuongoza with Iron fist! [/QUOTE]
Uongozi ni busara sio nguvu. Wanaohitaji nguvu ni waongozwaji na sio Viongozi. Being Iron fist is a weakness.
[/QUOTE]Sasa kaka masuala ya Prado yake mpya au ya zamani yanahusu nini hapa? na kama ulimsaidia ulitaka akushukuru sio?
😉 maana unajua tayari hajawahi kuolewa (una proof maana yake)! [/QUOTE]
Wala sio siri kwamba katika maisha yake hakuwahi kuolewa. Na pia ilikuwa ni katika kuthibitisha kuwa comments zangu ni za uhakika na ukweli.
[/QUOTE]Nathani watu wanataka kujua uadilifu wake na utendaji wake wa kazi kuwa na confidence kama una-execute si tatizo [/QUOTE]
Kama ni suala la uadilifu, hata kwa kusoma michango yote, sijaona mahali panapoonesha uadilifu wake. By the way hata kama ni mwadilifu, basi uadilifu wake ni incomplete kwa sababu, uadilifu ni pamoja na behaviour kwake binafsi pamoja na kwa watu wengine.
[/QUOTE] Na kama aliletwa LAPF for reforms na akaweza kubadili shirika kuwa mfuko katika mikiki ya Mafisadi naomba kuchukua nafasi hii kumpa HONGERA![/QUOTE]
Kwa bahati mbaya sana kati ya watu ambao hawakumsaidia Marehemu Mzee Bura basi huyu mama ni miongoni mwao kutokana na jinsi alivyokuwa akitekeleza majukumu yake kwa kutumia kanuni za jazba. Kusema ukweli hana alichokuwa akifanya na wala hakuwa hata mwongozo mwema kwa watumishi.
Pia wakati anajiunga na Mfuko ulikuwa tayari umeshabadilishwa kutoka Idara ya TAMISEMI, na sio Shirika, na kuwa Mfuko kwa mujibu wa Sheria ya THE LOCAL AUTHORITIES PROVIDENT FUND ACT, ya 2000. Kwa hiyo hakuwa na mchango wowote katika hilo.
[/QUOTE]Suala la mzee Siyovelwa nathani ni Marehemu sasa, tuambie utendaji wake ulikuwa vipi? Je alikuwa safi? na huko alipoenda kufanya kazi huyu mama matokeo yalikuwa vp ali-deliver? nakumbuka madiwani walifukuzwa kazi na wananchi kwa kumpinga! na hata walidiriki kutumia gazeti la Uhuru kumkashifu na cha kushangaza toleo lililofuata gazeti hilo hilo liliomba msamaha! sasa sijui unalieleza vp hili? [/QUOTE]
Yawezekana ikawa ni kweli kuwa alikuwa ni mzuri kwenye Taasisi alizopitia lakini akashindwa ku-deliver anapohamia kwenye Taasisi nyingine na vice versa. Sio jambo la ajabu na ndio maana hata wachezaji wa mpira hutokewa na hali kama hiyo.
[/QUOTE]Naomba utuambie hao waliomtoa kazini wana quality gani za utendaji maana inaelekea kuna madudu sana huko LAPF dodosa za magazeti zinasema hata mpangaji wa mwanzo aliyekuwa na biashara ya Hotel katika jengo la Millenium Tower alikimbia bila kulipa kodi ya mabilioni na sheria ikashindwa kumbana kama sikosei! kisa UFISADI NA MIKATABA YA KIJANJA. Na hata mpangaji wa sasa hakuidhinishwa na board! na ripoti ya CAG vipi? [/QUOTE]
Sikumbuki kama alitolewa kazini bali ninachojua ni kwamba alirudishwa Wizarani.
Lakini kama ni madudu, naamini kabisa kuwa yeye ni sehemu ya madudu hayo kwa sababu hata kwenye sakata la mpangaji wa kwanza wa Millenium Towers, yeye alikuwa ni sehemu ya management kwani alikuwa akishiriki kwenye vikao vya maamuzi na ninavyojua ni kwamba sakata la Millenium si sehemu ya complains zake.
Yeye Complains kubwa ambazo mpaka leo zinamsumbua ni kwamba kwa nini hakuwa confirmed kwenye post ya DHRA na badala yake akaletwa mtu mwingine.
[/QUOTE] Maswali yangu kwako ni haya;
Angekuwa mwanaume hajaoa ungeweka argument yako based on assumed physcological syndrome ?
Yes! Ningemjudge hivyo kwa sababu a good leader anaanzia kwake binafsi, kwa familia yake na kisha jamii anayoiongoza. Mtu kama hawajawahi kuoa au kuolewa huwezi kuwa na ushahidi kuwa ana uwezo wa kuhandle mke au mme pamoja familia na kuiongoza vema.
Mke au mume kwa kawaida huwa ndio tension releaser kwa watu wote unless awe mke au mume mbaya. Kwa hiyo, kama mtu hajawahi kuoa au kuolewa hadi anafikia 40s, basi he/she might have missed something in life.
[/QUOTE]je huoni frustration za kazini ndo zilimfanya awe hivyo kama unavyodai?[/QUOTE]
Hayo ni matokeo ya kutokutofautisha masuala ya kazi na masuala binafsi.
[/QUOTE] Je ni wangapi wanaopata matatizo makazini, na hucheka badala ya ku-fight against their mistreatment? [/QUOTE]
Kuna mbinu nyingi za kupambana na matatizo na hata kucheka pia yaweza kuwa ni mbinu mojawapo ya kupambana na matatizo.
[/QUOTE]Heshima yako Mkuu na uache kunyanyapaa jinsia![/QUOTE]
Ahsante. Mimi si mnyanyaapaji. Kutoa mchango sio sehemu ya unyanyapaa.
NB:
Nadhani jambo la msingi ambalo angeweza kulitumia katika kujinadi ni dhamira ya kutuletea maendeleo sisi wakazi wa Rombo kwa kutueleza ni namna gani atatusaidia katika kukabiliana na changamoto zinazotukabili. Na sio Historia kwani kama ni historia akina Mramba ambao walitumia ujana wao katika kujenga nchi wasingetumia Uzee wao katika kuibomoa na kuifisadi nchi walioijenga.