William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Huu ni ugonjwa mbaya sana unaotukabili wa Tanzania. It seems to me kwamba Mtanzania anakuheshimu tu pale unapomnyanyasa na kumfedhehesha. The more money you steal from us the more we respect you!! Unbelievable!!!!! Najua watu watasema ni njaa but this is BEYOND njaa kusema kweli...
- Mkulu Karandinga, hapa tupo ukurasa mmoja, saafi sana!