Samahani Yebo*2, Nadhani kama sikosei mwaka 1995 Mramba aliangushwa Rombo na Jamaa mmoja kutoka CHADEMA aitwaye Salakana ( sijui sasa hivi yuko wapi), baada ya hapo Che Nkapa akamteua Mramba kuwa RC Mbeya.
Naruhusu kurekebishwa kama kumbukumbu zangu hazijakaa vizuri
Asante
You are absolutely correct 100%.He was been by Reginald Salakana wa CHADEMA.