Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Ni kweli mwaka 1995 Mramba alibwagwa vibaya na Mgombea wa CHADEMA Bw.Alfred Justine Salakana.
Hata hivyo,hayo mapokezi ya huko Rombo itakua dili limechezwa na wananchi wakaingizwa mkenge tu.Hao mafisadi wanajiandalia mapokezi wenyewe kwa wenyewe halafu wananchi wanaingizwa mkenge.
Hata wafanye nini mwaka ujao Mramba harudi Bungeni
Hata hivyo,hayo mapokezi ya huko Rombo itakua dili limechezwa na wananchi wakaingizwa mkenge tu.Hao mafisadi wanajiandalia mapokezi wenyewe kwa wenyewe halafu wananchi wanaingizwa mkenge.
Hata wafanye nini mwaka ujao Mramba harudi Bungeni