kwa kweli nchi hii si jui mtanzania atafaidika kwa lipi na rasilimali za nchi yake jamani kama waziri ananisikia naomba achukua tahadhari mapema kabla hatujaenda mjengoni.na unajiuliza kama kweli walengwa wa mpango huu ni watanzania, maana kipato cha watanzania kinafahamika. Huu ni mpango wa kuwafungia milango wenye shida ya viwanja kweli na kuwaachia wale wenye tabia ya kuhodhi. Kama mtu anatakiwa kulipa milioni 9 katika wiki 1 kabla hata hajajua bei ya tofali au trip ya mchanga basi huyo si mtanzania wa kawaida. Je watanzania elfu 20 wa kipato hicho wanatoka sekta gani? Hivi ni lini watu watafaidika na rasilimali zao ndani ya nchi yao? Wanataka ku-achieve nini na wanalenga watu gani?
kwa kweli nchi hii si jui mtanzania atafaidika kwa lipi na rasilimali za nchi yake jamani kama waziri ananisikia naomba achukua tahadhari mapema kabla hatujaenda mjengoni.
Jumatatu nimesoma gazeti la mtanzania kwamba kuna viwanja 20,000 vimepimwa kinyerezi na form zitaanza kutolewa kuanzia kesho tarehe 19 may,square meter 1 ni tsh 10,000/= kwa hiyo ina maana mtu akitaka kiwanja cha 30m kwa30m anatakiwa kuwa kutoa milion 9 na ni ndani ya siku saba sasa jamani hivi hii manispaa ya ilala inataka mafisadi tuu ndio wawe na viwanja au wamemwangalia na mtanzania wa hali ya chini? Garama ya square meter moja kuuzwa 10,000/= hii si sahihi kabisa .haya maisha bora kwa kila mtanzania yatawezekana
naomba kuwasilisha
UMILIKI WA PLOT ZAIDI YA 40 KIGAMBONI NILILISIKIA JAPO SIJAJUA NI NANI MTAJWA..... wahusika(polisi/cid) ni vyema vi-tetesi kama hivi wavifanyie kazi na waje na majibu ya wazi badala ya majibu ambayo ni kero kwa wananchi kubaki ofisini "yakishughulikwa"
Yale/zile kero zinazogusa jamii ziwe zinatatuliwa kwa jamii kujulishwa ndipo najamii itakuwa na ushirikiano wa moja kwa moja na vyombo husika
nenda pale mbezi unanunua viwanja vinne kwa iyo bei na unapata na hela ya kuanza ujenzi kila kiwanja cha 30x 30 ni millioni mbili umeme upo kasoro maji
Hao wahusika kwenye RED wachunguze nini wakati wenyewe wapo kwenye list ya vinara wakubwa wa rushwa!UMILIKI WA PLOT ZAIDI YA 40 KIGAMBONI NILILISIKIA JAPO SIJAJUA NI NANI MTAJWA..... wahusika(polisi/cid) ni vyema vi-tetesi kama hivi wavifanyie kazi na waje na majibu ya wazi badala ya majibu ambayo ni kero kwa wananchi kubaki ofisini "yakishughulikwa"
Yale/zile kero zinazogusa jamii ziwe zinatatuliwa kwa jamii kujulishwa ndipo najamii itakuwa na ushirikiano wa moja kwa moja na vyombo husika
nenda pale mbezi unanunua viwanja vinne kwa iyo bei na unapata na hela ya kuanza ujenzi kila kiwanja cha 30x 30 ni millioni mbili umeme upo kasoro maji
hapo sasa unakuwa umetimiza lengo lao la kuwa na tofauti ya kimakazi baina ya walionacho na wasio nacho na kwa taharifa yako ujue madampo na kila aina ya uchafu yatatengewa kuwa maeneo hayo ya kwenu wala si kwao. mbona safari bado tukimaliza viwanja tutakuja hata kwenye barabara zitakuwepo wanazopita watnzania na zie wanzopita watanganyika. ni mtazamo tu
Kwa bei hii kwa nini ujenzi holela usiendee kwenye mabonde ?
Jumatatu nimesoma gazeti la mtanzania kwamba kuna viwanja 20,000 vimepimwa kinyerezi na form zitaanza kutolewa kuanzia kesho tarehe 19 may,square meter 1 ni tsh 10,000/= kwa hiyo ina maana mtu akitaka kiwanja cha 30m kwa30m anatakiwa kuwa kutoa milion 9 na ni ndani ya siku saba sasa jamani hivi hii manispaa ya ilala inataka mafisadi tuu ndio wawe na viwanja au wamemwangalia na mtanzania wa hali ya chini? Garama ya square meter moja kuuzwa 10,000/= hii si sahihi kabisa .haya maisha bora kwa kila mtanzania yatawezekana
naomba kuwasilisha
Hayo ndiyo maneno. Maana hivi vya Kinyerezi ni vya wateule.
viwanja vilivyo pimwa kuna standard zake huwezi ukanunua square mita moja au mbili kidogo kabisa ni 20m kwa 24 m kwa hito ukizidisha hapo unapata 480Msquare ukizidisha kwa elfu kumi unapata Tsh 4,800,000/= hapo umenipata sasa kuna vya ukubwa tofautitofauti mimi sio mtaalam wa land survey kuna low desity na high density.mkuu labda unisaidie kitu hiki kabla sijachangia, umesema square metre sh.10,000/=, ina maana mtu akitaka square metre 3 atalipa 30,000/=, ivo ivo akitaka sq.metre 4 ataongeza elfu 10,000/= ivo ivo mpaka metre sq.metre 30 atalipa elfu kumi kumi mpaka mra 30, je itafika 9,000,000/=. Mimi nafikiri itakuwa 10,000/=mara 30 ambayo ni sawa na (10,000/=*30= 300,000/=) plus 10,000/= ya maombi. Au apa na ela inawekwa kwenye meter squared?????????? Kazi ipo.
Mkuu inaonekana hesabu za kutafuta eneo zinakuchanganya, ngoja mie nikusaidie, square metre moja maana yake upana ni meta 1 na urefu ni meta 1, sq meter 4 upana ni meta2 na urefu meta2 au upana meta1 na urefu meta 4, sq meta 30 upana inaweza kuwa meta 1, 2, 3, 4, 5 na urefu wake respectively itakuwa meta30, 15, 10, 7.5, 6 eneo ambalo huwezi kujenga, eneo la kujenga ni angalau sq meter 260 ambayo ni 13m kwa 20m na bei yake itakuwa 2.6milion, cha milion 9 ni 30m kwa 30m ambayo ni square meter 900.mkuu labda unisaidie kitu hiki kabla sijachangia, umesema square metre sh.10,000/=, ina maana mtu akitaka square metre 3 atalipa 30,000/=, ivo ivo akitaka sq.metre 4 ataongeza elfu 10,000/= ivo ivo mpaka metre sq.metre 30 atalipa elfu kumi kumi mpaka mra 30, je itafika 9,000,000/=. Mimi nafikiri itakuwa 10,000/=mara 30 ambayo ni sawa na (10,000/=*30= 300,000/=) plus 10,000/= ya maombi. Au apa na ela inawekwa kwenye meter squared?????????? Kazi ipo.
mkuu labda unisaidie kitu hiki kabla sijachangia, umesema square metre sh.10,000/=, ina maana mtu akitaka square metre 3 atalipa 30,000/=, ivo ivo akitaka sq.metre 4 ataongeza elfu 10,000/= ivo ivo mpaka metre sq.metre 30 atalipa elfu kumi kumi mpaka mra 30, je itafika 9,000,000/=. Mimi nafikiri itakuwa 10,000/=mara 30 ambayo ni sawa na (10,000/=*30= 300,000/=) plus 10,000/= ya maombi. Au apa na ela inawekwa kwenye meter squared?????????? Kazi ipo.