Ncha
JF-Expert Member
- Jul 8, 2008
- 254
- 24
kweli ngumu, nimeongea na mtu mmoja pale manispaa ya Ilala ananiambia hata yeye kama mtumishi ameshindwa na gharama na masharti. sqm moja 10,000 halafu ndani ya siku 14 uwe umeshalipia hela zote za kiwanja. Na hii hali wanadhani kila mtu kajilimbikizia kama wao!!! nadhani itakuwa kama ile ya Arusha tu, mtu 1 anajitwalia viwanja kadhaa, kweli mwenye nazo huongezewa. kama unajua ndani ya siku 14 huwezi maliza lipia kiwanja hela yote dnt waste your time and money (20,000 ya form = lunch 20 mtaani kwetu)