Mradi wa Bandari ya Bagamoyo: Hoja kuu kwa sasa iwe ni mkataba kuwekwa wazi na si kuanza au kutokuanza utekelezaji wake

Itakuwa alikuja kugundua shida fulani.
Kama ni shida, basi huenda TISS walimbonyeza akabadili gia angani, na hiyo shida(kama ilikuwepo), itakuwa ni kwenye mkataba tu na ndio maana tunasema mikataba ndio kila kitu na si haya mapambaio ya ukubwa wa meli zitazohudumiwa na hiyo bandari na mapambio mengine.
 
Kuna mawili: inawezekana wakati anaongea, huo mkataba alikuwa hajausoma, au kuna alichotaka hakupata( hawakuelewana).

Kamwe usiwaamini hawa watu ni kama vinyonga.
Mimi siamini kuwa aliongea haya bila details za mkataba, kumbuka huyu alikuwa ni senior minister kwenye serikali ya JK tena minister wa mambo ya counstructions, sasa iweje awe rais na afikie kutamka kusifu huo mradi bila kujua details za mradi?

Sema tu it seems jamaa baadae baada ya mamlaka ya urais kumkolea akaona anaweza kufanya chochote kwa hiyo akaona aende na mipango anayoifikiria yeye badala ya kutembea kwenye plans alizozikuta. Kumbuka baada ya kuuzoea uraisi alibadili mengi katika mipango aliyoikuta ikiwemo SGR
 
Kama ni shida, basi huenda TISS walimbonyeza akabadili gia angani, na hiyo shida(kama ilikuwepo), itakuwa ni kwenye mkataba tu na ndio maana tunasema mikataba ndio kila kitu na si haya mapambaio ya ukubwa wa meli zitazohudumiwa na hiyo bandari na mapambio mengine.
TISS si ni ileile?
Ina maana hiyo TISS ilikuwa inamshauri Kikwete vingine na Magufuli inamshauri vingine?
 
Back
Top Bottom