Wataalam wanisaidie kuelewa.
1.Kulikuwa na umuhimu gani wa CWT kuanzisha benki?
2. Benki nyingine zilikuwa na upungufu gani hadi walimu wahitaji benki yao?
3. Iwapo kulikuwapo haja ya benki, mbona wao walimu na hasa viongozi waliendelea kupitisha mishahara yao kwenye benki nyingine badala ya benki yao?
1.Kulikuwa na umuhimu gani wa CWT kuanzisha benki?
2. Benki nyingine zilikuwa na upungufu gani hadi walimu wahitaji benki yao?
3. Iwapo kulikuwapo haja ya benki, mbona wao walimu na hasa viongozi waliendelea kupitisha mishahara yao kwenye benki nyingine badala ya benki yao?