Hakuna anaenidharau Mimi,as long no one pays my bill here or anywhere else
Nafahamu Haki zangu,naheshimu kazi yangu , naheshimu Sheria za nchi ,naheshimu waajiri wangu
Huo ualimu mnaodharau watu TAMISEMI wanatoa mpk 3m Ili wapate kazi Sasa hivi Sio Kwa hekaya but true a friend of mine ametoa 500k Ili tu apate ajira na kakosa,yaani Mimi hata nitukanwe humu kutwa nzima I don't give a damn about that shit your blabbering here
Sawa nshakua mwl but Sio wa mwisho wa maisha na Sio LAANA kwanza ni kazi ya Mungu hii kufundisha mtu mpk anakua
Sifanyi kufurahisha watu nafanya kama sadaka yaani nna malipo dunina na akhera kesho Kwa Mungu mawe mnayorusha endeeleeni kurusha Mimi Sibadiliki na Wala sisemi eti mhasibu noon,mwl wa Maths Tena Shule za kata hizi za Lowassa hizi
Kingine Mimi sio boya nna akili kichizi yaani nnajiamini na siogopi kufukuzwa KAZI nshawahi kugoma kwenda kulala kwenye Mwenge peke yangu sikufangwa kitu chochote,Mimi sio kilaza na sipo pale kwa msaada elimu yangu imeniweka pale haijalishi nalipwa kiasi Gani brooohh!!
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app