Mpwayungu huenda yuko sahihi, Walimu Wana Nini?

Mpwayungu huenda yuko sahihi, Walimu Wana Nini?

Mtu anayesema kwamba "mwalimu ana laana" nadhanI yeye ndiye mwenye hiyo laana.

Tuache dharau tujifunze kushukuru,hao walimu mnaowashambulia kwa maneno mabaya na kuwaona hawafai ndiyo hao hao waliwashikisha kalamu wakiwafunza kuandika,na hapa ndipo ile dhana Mtanzania anafurahia kuibiwa inapojidhihiri maana mkisikia mwanasheria wa serikali kaiba mnamuona ndiye mwenye akili lakini mwalimu kwa sababu kazi yake ni kuwafundishia watoto wenu na siyo kukutana kwenye vikao vya pesa mnamuona akili hana.
Mambo ya hovyo sana na ajabu mada kama hizi kutukana walimu zinakua nyingi na zinaachwa tu.

Nafikiri huu si uhuru manq uhuru unaenda na kuheshimiana, utu, wajibu na haki kwa kila mmoja.
 
Mtu anayesema kwamba "mwalimu ana laana" nadhanI yeye ndiye mwenye hiyo laana.

Tuache dharau tujifunze kushukuru,hao walimu mnaowashambulia kwa maneno mabaya na kuwaona hawafai ndiyo hao hao waliwashikisha kalamu wakiwafunza kuandika,na hapa ndipo ile dhana Mtanzania anafurahia kuibiwa inapojidhihiri maana mkisikia mwanasheria wa serikali kaiba mnamuona ndiye mwenye akili lakini mwalimu kwa sababu kazi yake ni kuwafundishia watoto wenu na siyo kukutana kwenye vikao vya pesa mnamuona akili hana.
Mbona hamjadili hoja Wala kujibu maswali yaliyoulizwa? Kwanini mnalaumu tu na kuleta mambo ya utu,huruma nk? Jibu hoja mmprove wrong Mpwayungu village.
 
Mambo ya hovy sana na ajabu mada kama hizi kutukana walimu zinakua nyingi na zinaachwa tu.

Nafikiri huu si uhuru manq uhuru unaenda na kuheshimiana, utu, wajibu na haki kwa kila mmoja.
Watu wanajisahau na bado wana mambo ya kitoto.

Kijana kama anajua kesho na kesho kutwa atazaa na watoto zake atawapeleka shule hizi hizi zinazofundishwa na walimu anatoa wapi guts za kumkashifu mwalimu?je hao waalimu wakisema ok,ngoja tuchukue ushauri wanaotoaga wadau JF kuna mtoto wa mtu atafundishwa?

Ujinga tu!
 
Mbona hamjadili hoja Wala kujibu maswali yaliyoulizwa? Kwanini mnalaumu tu na kuleta mambo ya utu,huruma nk? Jibu hoja mmprove wrong Mpwayungu village.
Ieleweke tu huyo anayejiita mpwayangu hana hoja inayoweza kueleweka ni sumu tu za kitoto anazipandikiza kwa watu muhimu na obviously ni failure wa maisha yake mwenyewe anatafuta faraja kwa kuwa-attack wengine.

Mwalimu anaonekana siyo mjanja kwa sababu kitengo chake hakina mianya ya upigaji lakini ieleweke ukiwatoa madaktari mwalimu ndiye mtu mwingine wa muhimu zaidi kwenye jamii kuliko mtu yeyote yule.

Acheni mambo ya kitoto!
 
Hivi niandikavo Mwalimu bank imeishafilisika. Bank haiwezi tena kulipa mishahara ya wafanyakazi wake na imewapiga retrenchment kadhaa. Imeshindwa kutoa mikopo wanadai mitambo yao imekwama Uturuki kwenye tetemeko. Walimu Wana Nini? Je, Mpwayungu village anaposema ualimu ni LAANA ,Yuko sahihi?
Mpwayungu hana adabu kabisa.
Anawadharau walimu wake baada ya kupewa maarifa na ujuzi!
Kwa kawaida Mwalimu wa kwanza Kwa mtoto ni mama hivyo anamdharau hata mamake!
Walimu wangu nawaheshimu sana despite their short comings!
Hakuna aliye mkamikifu hapa duniani including Mpwayungu!
 
Kila siku naona hizi mada kuwashambulia walimu imekua kama sifa na ufahari.

Kama ni nia ya kujenga siyo tatizo lakini mlengo wake unaonekana ni kuwatweza utu wao hii si sawa.

Uongozi wa jamiiforums mnaofanya moderation hii ni too much sasa, mada kama hizi zinaua haya majukwaa kuonekana ni ya hovyo tu. JamiiForums.
Tanzania ni shirika gani au taasisi ya uma inayofanya vizuri?
Huko hao wote wanaofanya kazi ni walimu? Kwanini kila siku kuwashambulia walimu? Kutumia lugha kali zisizo staha na matusi mkitafutwa unaeza kutolea maelezo usifikiri huezi kupatikana.

Kuweni makini.
Seconded!
Jukwaa lisigeuzwe kuwa kijiwe Cha wahuni. Moderators please work on this please.
 
Ieleweke tu huyo anayejiita mpwayangu hana hoja inayoweza kueleweka ni sumu tu za kitoto anazipandikiza kwa watu muhimu na obviously ni failure wa maisha yake mwenyewe anatafuta faraja kwa kuwa-attack wengine.

Mwalimu anaonekana siyo mjanja kwa sababu kitengo chake hakina mianya ya upigaji lakini ieleweke ukiwatoa madaktari mwalimu ndiye mtu mwingine muhimu zaidi kwenye jamii kuliko mtu yeyote yule.

Acheni mambo ya kitoto!
Nimeikubali hoja Yako,ila umemaliza kwa kunishambulia Ili hali Mimi nimeuliza swali tu.
 
Hivi niandikavo Mwalimu bank imeishafilisika. Bank haiwezi tena kulipa mishahara ya wafanyakazi wake na imewapiga retrenchment kadhaa. Imeshindwa kutoa mikopo wanadai mitambo yao imekwama Uturuki kwenye tetemeko. Walimu Wana Nini? Je, Mpwayungu village anaposema ualimu ni LAANA ,Yuko sahihi?
Ukiachilia mbali walimu niambie field ipi yenye watu competency kwa hapa bongo. Wanasiasa vilaza, viongozi hawana upeo, mainjinia tunachukua wachina kama vile bongo hawapo, madokta, wanahabari n.k kote uko majanga kama kila field imeoza kwanini unatarajia walimu pekee wawe na unafuu?
 
Ieleweke tu huyo anayejiita mpwayangu hana hoja inayoweza kueleweka ni sumu tu za kitoto anazipandikiza kwa watu muhimu na obviously ni failure wa maisha yake mwenyewe anatafuta faraja kwa kuwa-attack wengine.

Mwalimu anaonekana siyo mjanja kwa sababu kitengo chake hakina mianya ya upigaji lakini ieleweke ukiwatoa madaktari mwalimu ndiye mtu mwingine muhimu zaidi kwenye jamii kuliko mtu yeyote yule.

Acheni mambo ya kitoto!
Yana umuhimu gn malofa haya zaidi ya kuisaidia ccm kuiba kura kwenye uchaguzi, punguza Wenge acha ujinga walimu wangekuwa wanaumuhimu wangepewa vipaumbele na serikali kama kada zingine, umuhimu wa mtu haupimwi Kwa kazi yake unapimwa Kwa smartness aliyonayo yenye kutoa best result sio hawa walimu ambao ukikohoa wanajamba nakukimbiana ni maoga majinga haya haijapata kutokea

Sasa kama mialimu ni mioga inashindwa kudai haki zao mpaka viongozi wa CWT wanakataa kuwa maDC ili waendelee kuchota pesa za haya malofa utasemaje Yana umuhimu, mbaya zaidi nimafeilures mengi Yana four either O LEVEL au ADVANCE yakakosa choice yakakimbilia ualimu
 
Walianzisha masakosi yao wakaona wamefanikiwa kiuchumi ikabdidi waanzishe benki kabisa. Ulikuwa ni upuuzi wa hali ya juu. Walichanganya madesa, biashara na taaluma ya ualimu wapi na wapi? Wangeanzisha chuo kikuu wangeonekana wana akili nyingi kudili na mambo ya taaluma zao tu. Kuchanganya taaluma mbili kwenye kapu moja utegemee zikupe matokeo mazuri ni ujuha
 
Wenye Bank yao wamesha badilisha upepo wa mada ili madudu yasijulikane wazi......Itakuwa wapigaji niwenyewe halafu waaliimu walivhangishwa muda mreefu kuanzishwa na kuifanya Bank isimame.

Kumbe wanapigwa tu maskini.
Kwanini hawajifunzi kilakitu wanalazimishwa na kutishiwa kuchangia nawao hata hawaulizi??
 
Back
Top Bottom