raha ya milele umpe mamamdogo ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani. Amina
Pole sana,,,,,, Mama apumzike kwa amani
Da' King'asti !
Ama kwa hakika ni faraja kwangu iliyoje! Kwa kukuona umeungana nami ktk Uzi huu maalumu kumhusu mpenzi Mama yetu .
I can imagine your pain my dear. umenikumbusha mamangu alipofariki. mama zetu wadogo took care of us like we are little gals. tunafanya kazi lakini watakupigia kukuuliza tu unaendeleaje, na akisikia unaumwa atafunga safari.
Celebrate her life na miaka mingi ya mema mliyopata pamoja
Pole sana mkuu... mbona sikuwa na hizi taarifa!??