KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,651
- 6,109
Mbona haya majanga ya wanaume na wanawake kukumbia nymba zao humu yamezidi?
Kufa ni faida na kuishi ni kristo cha msingi ni kujiandaa maana hakuna ajuaye siku na saa yake.
....Mungu akupe faraja yake
Mbona haya majanga ya wanaume na wanawake kukumbia nymba zao humu yamezidi?
Atakuja tuvute subra shemHaya!
Umemuona kaja? Kama sio kusubiri Nguruwe toka Iran au Saud Arabia ?
Staki niamini kwamba hadi hapo jibu huna !
Namie yamenivinjaria !
Sis tumsaidieje shem