Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
Jamani jamaa angu ambae yuko huko Kwa mzee SUGU, Mpinzani wake kalazwa PRESURE imeteremka bila speeed Govarnor, mwenye habari kamili jamani amwage hapa.....
kupata tetesi tu za matokeo anapata pressure?? may he rest in peace.
hahahahaa! bila speed governor! like that
Tunduma matokeo ya awali chadema 28,000 ccm 200 ni uraisi na ubunge