Elections 2010 Mpinzani wa Sugu Kalazwa Pressure juu chini(Mix pressure)

Magulumangu

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
3,047
452
Jamani jamaa angu ambae yuko huko Kwa mzee SUGU, Mpinzani wake kalazwa PRESURE imeteremka bila speeed Govarnor, mwenye habari kamili jamani amwage hapa.....
 
Huyo jamaa alikuwa hakupata ushauri nasaha wa kupokea matokeo mema au mabaya? Pole yake! Mwendo mdundo chadema.
 
Mwaka huu!!! wengi zitawashuka hadi ziwe kama za ndege,, unaifahamu BP ya ndege ni ngapi wewe?? acha tu
 
Na bado, wengi sana usiku huu utasikia wamelazwa. Kimbunga ndo hicho kinakuja kuiteketeza ngome ya mafisadi
 
Jamani leteni matokeo ya kweli tuko mbali na nchi na hiki ndicho chombp pekeee tunachokitegemea juu ya matokeo
mapinguzi daimaaaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom