Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,020
- 1,788
I cant believe ukombozi wa taifa kutoka kwa mafisadi unaanza kuwa successfully
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunduma matokeo ya awali chadema 28,000 ccm 200 ni uraisi na ubunge
Tunduma matokeo ya awali chadema 28,000 ccm 200 ni uraisi na ubunge
Mimi naomba Mungu tu kaka JK aijepatwa na huo mkasa pia kwa sababu hiyo hali yake ya kuangukaanguka jukwaani yanipa mashaka sana, natamani aone wenzake wenye akili na uwezo wa kuongoza wanavyoleta maendeleo kwa kutumia kidogo walichonacho hehehehe.Jamani jamaa angu ambae yuko huko Kwa mzee SUGU, Mpinzani wake kalazwa PRESURE imeteremka bila speeed Govarnor, mwenye habari kamili jamani amwage hapa.....
Tumuombee asife ili ashuhudie ushindi wa SUGU!
hahahahaa! bila speed governor! like that
Huyo jamaa alikuwa hakupata ushauri nasaha wa kupokea matokeo mema au mabaya? Pole yake! Mwendo mdundo chadema.
Wewe si ndiye umetuletea habari, kwani vyanzo vyako vinasemaje?
kupata tetesi tu za matokeo anapata pressure?? may he rest in peace.
Oooooh come on guys,leteni taarifa zinazojitosheleza,husemi source yako.tuache utani
Hiyo habari sio kweli, niliwasiliana na Mpesya jana jioni baada ya vijana zaidi ya 80 wa CHADEMA walipoandamana kwa baiskeli hadi nyumbani kwa Mpesya, na hata leo hii nimewasiliana naye. Ni mzima wa afya na anafuatilia zoezi la upigai kura[/QUOTa kufa kwa dkE]wewe umesoma kweli mkuu, umewasiliana nae jana, leo na sio muda huu wakati wa kutoa matokeo, mtu anaweza kufa in one second mkuu, mzee wetu Dr Omar juma alifariki ghafla watu hatukuamini, sasas wewe unapinga ukweli? Prove kama uko huko maana rafiki yangu anasimamia kura huko Mbeya na anasema mvua ya Dr Slaa ni more than Elnino....
hivi wewe umesoma lakini, mtu anawez
Kha?:smile:kupata tetesi tu za matokeo anapata pressure?? may he rest in peace.
kupata tetesi tu za matokeo anapata pressure?? may he rest in peace.