Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,112
Hivi ni sahihi watu kuahidi kipiga kura kwa kujaza namba zao za vitambulisho na namba ya simu?
Lengo la kufanya hivyo ni nini? Je sheria za uchaguzi zinaruhusu zoezi hili?
Hii inanipa ukakasi, naona kama kuna mlango wa rushwa kupitia fomu hiyo.
Je, Hizo namba za kupigia kura ziko salama kiasi gani? Na je, namba za simu za alie ahidi haziwezi tumika kumtishia mpiga kura kufanya maamuzi ambayo pengine hayakuwa ya kwake kukipigia kura chama chenye fomu hii?
Lengo la kufanya hivyo ni nini? Je sheria za uchaguzi zinaruhusu zoezi hili?
Hii inanipa ukakasi, naona kama kuna mlango wa rushwa kupitia fomu hiyo.
Je, Hizo namba za kupigia kura ziko salama kiasi gani? Na je, namba za simu za alie ahidi haziwezi tumika kumtishia mpiga kura kufanya maamuzi ambayo pengine hayakuwa ya kwake kukipigia kura chama chenye fomu hii?