Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,269
- 1,269
Kama ungechoka guts za kuandika umetoa wapi?
Sent from nokia Jeneza
Unafikiria kwa kutumia diesel au? Cheki vizuri inaezekana diesel imeisha ndo mana hata upeo wako wa kufikiri unakuwa mdogo
Kama ungechoka guts za kuandika umetoa wapi?
Sent from nokia Jeneza
wewe unaassume kwamba ni mweupe ila mimi ni mweusi
haya bhana nmeshindwa mm......... Lakin hata hvyo mwanga mweupe ndio mzur ili umulikwe sehem zote
sikunyingine ukianza kufanya fika mahali mbebe ka muinamishe kwenye switch ya taaa washa uone kama atachomoa dushe
Shekidodo![]()
Miss una mambo wewe
Unafikiri masihala, mimi nilishawahi kufanya hivyo kuna mtu alinipenda sana ila mimi sikuwa nampenda so, nilikuwa namwambia azime taa, akiwasha tu nikamuona hapo hapo network inakata namwambia najisikia vibaya naomba tuache. kwa hiyo na wewe msikilize usije achwa bure, maana mimi wakwangu niliamua kumuacha japo aliumia sana lakini nikasema atapata anaempenda watapendana atanisahau.
Mwanga ndo wenyewe.....au ukurutu kunako
Pengine anakuonea aibu
mhhh.. Ntajaribu.
Kwanza tuambie,kwanini wewe huwa unafumba macho mkiwa huko faragha then tutakupa jibu kwanini mwenzio anataka mzime taa.:biggrin1:
ndo ufanye hivyo kama anamwili zaidi yako uanze kufanya mazoezi
Kama wallet inaeleweka na unajua kutoa/kuhudumia pigia mstariKwa hiyo atakua kafuata wallet sio?
Ingekua hivyo ningefurahi. Ila yeye hataki mwanga kabisaaaa.
Sasa unatuuliza sisi umeshindwa kumuuliza huyo mpenzi wako?Habari zenu wana MMU.
Nina mpenzi wangu ni miezi 6 sasa nimekua nikimgegeda kwenye giza tuu hataki tufanye kwenye mwanga.. Kwa nini hili jamani?