Wataalamu wa afya mkuje hapa

Wataalamu wa afya mkuje hapa

SILLENT KILLER 2

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2024
Posts
846
Reaction score
1,667
Habari za muda wana jamvi.straight kwenye mada nina mpenzi wangu anachangamoto ya ugonjwa wa HPV cjui ndo unaitwa saratani ya shingo ya kizazi na dalili zake ni kuvurugika kwa mzunguko wa damu na zingine n.k
Sasa akapatiwa chanjo lakini leo ametokw na damu nyini vibaya sana
Kwhyo wakuu naombeni msaada
 
Habari za muda wana jamvi.straight kwenye mada nina mpenzi wangu anachangamoto ya ugonjwa wa HPV cjui ndo unaitwa saratani ya shingo ya kizazi na dalili zake ni kuvurugika kwa mzunguko wa damu na zingine n.k
Sasa akapatiwa chanjo lakini leo ametokw na damu nyini vibaya sana
Kwhyo wakuu naombeni msaada
Muwahishe hospital, mitandao haitakupa msaada wowote zaidi ya matango pori. Na kukutia moyo tu
 
Mtu akitokwa na damu unampeleka hospital sio kuja mtandaoni. Mitandao inaongeza damu ??
Halafu hata maelezo hayaeleweki sijui hawajakuelezea vizuri au nini. Ana saratani au ana maambukizi ya Human Papilloma Virus na inakuwaje apewe chanjo baada ya kuumwa pia hapa Bongo hospital hazipimi kama una hayo maambukizi ya HPV labda kama siku hizi kuna kipimo chake .
 
Back
Top Bottom